Awali zilianza channels 52 huku ahadi ikiwa zitakuwa zinaongezeka kila baada ya muda,wapo ambao waliamini na wapo waliodhani ni katika kutaka kuuza tu!
Kuanzia tarehe 28 mwezi wa pili utekelezaji ulianza kwa zile channels ambazo zilikuwa zinauliziwa sana ITV na EATV baada ya siku kadhaa FX na FOX INT nazo zimeongezwa!
Huu si mwisho bali ni muendelezo wa huduma bora kwa kile mnachokihitaji!
Channels nyengine zinakuja unaweza ukatoa maoni yako je unapendelea channels gani ziongezwe!!??
Kuanzia tarehe 28 mwezi wa pili utekelezaji ulianza kwa zile channels ambazo zilikuwa zinauliziwa sana ITV na EATV baada ya siku kadhaa FX na FOX INT nazo zimeongezwa!
Huu si mwisho bali ni muendelezo wa huduma bora kwa kile mnachokihitaji!
Channels nyengine zinakuja unaweza ukatoa maoni yako je unapendelea channels gani ziongezwe!!??
8 Unasemaje..??:
WEKA STAR TV
Top movies na Star TV
Angalieni uwezekano wa kutuwekea Hope tv, Emanuel tv, ATn na Star tv.
Bro tukiachana na tv channels naomba kuuliza swali na swali langu linaenda hivi:hivi namba za model ya receiver ya azamtv ni zipi?
Azam tv inasumbua sana wakati wa mawingu na mvua lishughulikieni tatizo hili
Azam tv inasumbua sana wakati wa mvua na mawingu lishughulikieni hili tatizo
weka channel za kihindi zaidi km B4u movies na Sony
ongeza na weka
star plus,
zee tv
sony tv kihindi
b4u movies
life ok kihindi
michezo
za cricket
Post a Comment