Call / WhatsApp +255673378129

Apr 24, 2014

CHANNEL ZISIZOONYESHA KWENYE AZAM TV

KUHUSU AZAM TV


Wadau,
Tunapokea malalamiko kutoka kwenu kuwa chanel za ZBC,K24 na NTV zinaandika ACCESS DENIED.
Kuhusu channel hizi za Kenya yaani K24 na NTV,hazitoweza tena kupatikana ndani ya Azam TV kwani tumepaswa kuziondoa kutokana na kutokuwa na haki za kuendelea kuzirusha nchini Tanzania.
Kwa mujibu wa Wahusika wa hizo chanel,wametutaka tuzitoe na hazipaswi kuoneshwa nje ya mipaka ya Kenya...poleni kwa usumbufu wowote mliyoupata na utakaojitokeza.
Kuhusu ZBC sasa imerudi hewani lilikuwa ni tatizo la kiufundi tu lakini sasa limeshashughulikiwa na inaruka kama kawaida.
Azam TV Burudani kwa Wote.
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA NO.+255789476655
Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Mbona mmechelewa kusema na ni kwanini mlikuwa mmeweka channel ambazo hamkuwa na uhalali nazo mmeacha mpaka wadau tumezipenda ndipo mnatuambia why!!??

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita