Call / WhatsApp +255673378129

May 28, 2014

PSPF - INSTALLATION YA DSTV





Mjengoni.

 Mlango mkuu wa kuingilia
Kuna mdau aliwahi kuniambia ndio jengo refu kupita yote dar es salaam,
linaitwa Golden Jubilee Tower lipo maeneo ya posta!
Binafsi ambacho naweza kusema ni refu kweli maana ukikaa juu ni balaa!!
Hapa ndipo zilipo office za PSPF - Mfuko wa Pensheni kwa watumishi wa umma.

Huduma yangu iliyohitajika hapa ni kuwezesha wadau kuona kila kinachoendelea kwenye DSTV.
Kwa bosi na Customer Care nami na team yangu kazi kazini!












 Flavian - Mtaalam Mwenyewe









Mustapha MaDish kama kawa!
Kazi ilichukua siku mbili hatimae tukamaliza!
+255789476655 NAWE UPATE KILICHO BORA
Share:

3 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Sawa!
Namalizia kaofisi kangu ntakucheck soon!

Anonymous said...

Mjengo mjengoni kama kawa!

Anonymous said...

Kaka nami nataka kujifunza hiyo kitu ila sins pesa ya kulipia chuo unanisaidiaje!?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita