Call / WhatsApp +255673378129

Jun 18, 2014

DSTV TANZANIA IMETUPELEKA JANGWANI


...kuna mtu aliwahi kusema watu waishio mabondeni ili waweze kuhama watolewe huduma zote muhimu ikiwemo Umeme..
Leo napata jawabu hapa kwa mfano kama ingelikuwa aliyesema ndiye Meneja wa Tanesco sidhani kama angelisema hivyo..
Kama kweli umeme ungetolewa maana yake hata mimi leo nisingepata nafasi hii ya kuipeleka DSTV jangwani maana ni nyumba ya mwisho kabla ya kuufikia mto msimbazi..
Mengine muachie baba na mama!
PIGA +255789476655






Mwisho wa yote tukachapa mwendo!
Share:

3 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Watu wanataka world cup nyumbani!

Anonymous said...

wengine wanafanya michepk kicngizi mpila

Anonymous said...

Mi nipo mkoani ila nanufaika nawe thanx a lot kaka uctuchoke

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita