Call / WhatsApp +255673378129

Jun 6, 2014

DSTV TANZANIA OFFER Inafanya vizuri!

Baada ya kukumbuka site nimerejea kama kawa na leo nimeamka na DSTV ikiwa ni OFFER ya Tsh 129000/= Unapata kufungiwa na vifaa vyote isipokuwa inakuwa haina kifurushi cha mwezi!
Moja nilifunga kiwanja cha nyumbani Magomeni ila hii Magomeni Makuti!
Ya pili nilifunga sehemu moja wanapaita Kinondoni Manyanya.
Picha nazo zilipatikana ijapokuwa kwa uchachee!!
KUUNGANISHWA/MSAADA KIUFUNDI PIGA +255789476655

 Magomeni

 DStv magomeni

 DStv magomeni

 DStv kinondoni

 DStv kindondoni

 DStv kinondoni

DStv kinondoni
Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kaka hiko kidubwana kinachoitwa satellite finder naweza kukipata wapi!?
Je ni kwa dstv ama kwa dish yeyote unaweza kutafutia signal!?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita