Call / WhatsApp +255673378129

Jun 13, 2014

BRAZIL YAANZA KWA KUITANDIKA CROATIA 3-1

 
YOTA aliyebeba matumaini ya Wabrazil wengi, Neymar amefunga mabao mawili
usiku huu katika ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Croatia kwenye mchezo wa
ufunguzi wa fainali za kombe la dunia.
Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali na aliongeza bao
 la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati
yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia madhambi Fred.


 Kipa wa Croatia stipe Pletikosa akijaribu kuokoa shuti la neymar lakini aliambulia patupu!

Mkwaju wa penati wa Neymar kipa japo aliigusa lakini hakuweza zuia kuingia nyavuni!
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa
kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.

 Mercelo akijifunga mwenyewe
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa.Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao.

 Neymar aliyefunga bao mbili!

source:Shaffih Dauda
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia madhambi Fred.Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwaMambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao

Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil  wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali  na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia  madhambi Fred.
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=1982#sthash.ypK7U03G.dpuf
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil  wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali  na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia  madhambi Fred.
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=1982#sthash.pE8rt4Tk.dpuf
NYOTA aliyebeba matumaini ya Wabengi, Neymar amefunga mabao mawili usiku huu katika ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Croatia kwenye mchezo wa ufunguzi wa fainali za kombe la dunia. 
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil  wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali  na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia  madhambi Fred.
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=1982#sthash.pE8rt4Tk.dpuf
Share:

3 Unasemaje..??:

Anonymous said...

hAHAHAHAH MI niliyajua haya!

Anonymous said...

On peut te dire que ce n'est pas erroné ..

Have a look at my blog ... foufoune poilue dépravée

Anonymous said...

Brazil kuleeeee!!

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita