Call / WhatsApp +255673378129

Jun 7, 2014

RATIBA ZA MECHI KOMBE LA DUNIA

Kila kona si ya Tanzania pekee ni dunia nzima story ni kombe la dunia hata kama nchi husika haijapeleka timu yao kama  ilivyo sisi Tanzania,bado haitukatazi kuwa na msisimko na kombe hili!
Kwanini kutokana na upenzi wa mpira wa miguu kwa ujumla kwa maana hiyo ukiacha burudani kuna kujifunza pia sasa wacha niwape ratiba itakavyokuwa kuanzia tarehe 12/06/2014

Trh 12/6/2014-Brazil v Croatia saa 5 kamili usiku.

Trh 13/6/2014-Mexico v Cameroon saa 1 kamili usiku.
Trh 13/6/2014-Spain v Netherlands saa 4 kamili usiku.
Trh 13/6/2014-Chile v Australia saa 7 kamili usiku.

Trh 14/6/2014-Colombia v Greece saa 1 kamili usiku.
Trh 14/6/2014-Ivory Coast v Japan saa 10 usiku.
Trh 14/6/2014-Uruguay v Costa Rica saa 4 kamili usiku.
Trh 14/6/2014-England v Italy saa 7 kamili usiku.
Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Mbona umeweka za siku tatu kiongozi fanya tupate ya jumla..

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita