Call / WhatsApp +255673378129

Aug 1, 2014

BEI MPYA YA AZAM TV


Kutokana na sababu za kiuendeshaji imelazimika yatokee mabadiliko katika kuuza king'amuzi cha Azam tv.
Bei mpya ya Azam tv toka leo Tarehe 1/08/2014 ni Tsh 165000/=
Inajumuisha vifaa na Ufundi.
Malipo ya mwezi ni ile ile Tsh 12500/=
Ukilipa Tsh 177500/= unapata kufungiwa kila ktu na mwezi mmoja bure,hivyo utapata miezi miwili. 



Kwa maelezo zaidi Piga : Mobile +255789476655/714973797/659161111 Mustapha MaDish
Office: +255789 476655

Jivunie kuhudumiwa nasi!
Share:

5 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Haya tena mi nilikuwa nangoja ishuke mara ohoo ndo mnapandiisha ah!

Anonymous said...

mnapanda mdogo mdogo

Anonymous said...

Great weblog right here! Additionally your web site lokts up fast!
What web host are you the use of? Can I get your associate link on your host?
I desire myy site loaded up as faset as yours lol

Feel free to visit my blog ... appliance repair las vegas

Anonymous said...

Kaka Madish hii blog yako iko poa sana imekuwa msaada kwa sisi watanzania maana wewe huna jumapili wala nini ila hawa azam wenyewe ukipga simu kupokea ni shida

Anonymous said...

I think the admin of this website is really working hard in favor of his web page, because here every information is quality based material.

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita