Call / WhatsApp +255673378129

Sep 15, 2014

DECODER YA CONTINENTAL


Niwe mkweli kwakuwa mimi napenda kwanza muonekano mzuri wa picha hivyo inapozungumziwa HD iwe HD kweli na kama hata isiwe HD lakini muonekano wa picha uwe mzuri, king'amuzi hichi ni moja kati ya ving'amuzi vyenye muonekano wa picha mzuri sana kwa zile channel zote zinazomilikiwa na Continental.
Huu ni mwaka 2018 bei kwa sasa ni Tsh ... kwa Decoder ya Antenna na Tsh ....  kwa Decoder ya Dish ikiwa set imekamilika, hapa nikiwa na maana inakuwa na Dish, Decoder, Cable, LNB
Ufundi ni Tsh 30,000/= kwa king'amuzi cha Dish
Share:

5 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Angalau sasa wanatazamika..

Anonymous said...

Do you mind if I quote a couple of your posts as long as I provide credit
and sources back to your blog? My website is in the very same area of interest as yours and my visitors would certainly benefit from a lot of the information you
present here. Please let me know if this alright with you.
Many thanks!

Also visit my page - sparta

Anonymous said...

Bado ni bure au wanafikiria kuwa na malipo ya kila mwezi?

Unknown said...

Hamjaandika bei ya kingamuzi cha dish wala Antenna

Unknown said...

Nahitaji kingamuzi Niko arusha migungani

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita