Call / WhatsApp +255673378129

Oct 16, 2014

NAWALETEA CONTINENTAL YA DISH


Hatimae marejeo yamekuwa mazuri,ambapo sasa macho ya watanzania na wadau wa ving'amuzi kwa ujumla yameelekezwa kwa Digitek kuona yakuwa nao watatoa dish baada ya Continental kutoa Dish!
Hii inamaanisha leo ukihitaji king'amuzi cha Continental nitakachokuuliza cha kwanza..
unataka Continental ya Antenna ama ya Dish..
kisha mengine yanafata..

Share:

8 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Hii inakuwa bei gani!?

Anonymous said...

Mkuu tumekupata ilaa hii inakuwa bei gani na je channel ndo zile zile!?

Anonymous said...

Hii nayo haina malipo ya mwezi!?
Bei gani kwani?

Anonymous said...

Hawa ndo hakuna kitu kabisa nafuu hata ya star times

Anonymous said...

Hakuna kitu hapo

Anonymous said...

Mnaongeza hizo chanell mpya lini

Anonymous said...

CHANELY ZA MPIRA, HAPO KUNANI???

Unknown said...

Mmmh

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita