Call / WhatsApp +255673378129

Oct 7, 2014

STAR TV KWENYE AZAM TV


Swali limekuwa nawezaje kupata star tv kwenye king'amuzi cha azam tv!!??
Na hii imetokana na baadhi ya wengine kupata star tv kwenye king'amuzi cha azam tv..
Je star tv wameungana na azam tv!!??
Jibu ninaloweza kuwapa ni kwamba star tv haijaungana na azam tv,badala yake kutokana na uwezo wa fundi unaweza ukapata star tv kwenye king'amuzi cha azam tv..
N.B:Kutokana na uwezo wa fundi!
Soon nitawaletea picha ni vipi inakaa..

Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kweli niliwahi kuona mahala pia nikashangaa kwangu siipati,nahitaji hiyo star tv nami nna king'amuzi cha azam nijiandae vipi?
Nipo kibaha

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita