Call / WhatsApp +255673378129

Oct 11, 2014

STARTIMES YA DISH

King'amuzi ambacho kilipoanza kilipokelewa vizuri sana,watanzania wengi walinunua ila baadae kidogo kulitokea tatizo,tatizo ambalo liliwaweka wakati mgumu sana hasa katika kupata wateja wapya na wale wa zamani kutafuta namna ya kuondokana na tatizo hilo..
Tatizo la signal ambalo lilipelekea picha kukata kata ama kupotea kabisa ila ambalo lililokuwa linatokea hata kama mteja hajafunga vizuri Antena yake ama mafundi ambao wateja wanawatafuta ili wafungiwe Antanna zao kufunga ndivyo sivyo lakini atakachomalizia kusema tatizo ni la star times wenyewe..
Tatizo ambalo walikabiliana nalo na kulimaliza kabisa na kama inatokea kwa sasa zungumza na fundi wako ila kama ni fundi wewe mwenyewe maana watanzania tunaongoza kwa kuingilia kazi za watu..unapaswa Antanna yako kuielekeza Makongo juu,tatizo likiendelea hebu angalia cable yako ipo sawa? hakuna sehemu iliyochubuka kama sio kukatika? 
Likizidi hapo kuna namna unaweza nicheck nikakusaidia!
Binafsi huwa nasema Digital ni Dish ila inapotumika Antenna naona bado Analogue!
Pongezi kwenu Star times Tanzania kwa kuboresha huduma zenu kwa kuleta startimes ya dish,hili ni jambo zuri sana kwenu na kwa wateja wenu kwa ujumla!
Kwa tsh 105000/= umepata star times ya dish
Ambayo inakuwa na kifurushi cha mwezi mmoja ndani
Kwa maelezo zaidi na kuunganishwa +255789476655
Share:

4 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Hii malipo yake ya mwezi kama ya Antenna!?

Anonymous said...

Upatkanaji wake upoje ni tanzania nzima!?
king'amuzi HD kama azam ama ndo sukuma twende!?

Anonymous said...

Star times huwa napenda tv 1 tu.

Anonymous said...

Hii ya dish hata usipolipia local nazo zinabaki?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita