Call / WhatsApp +255673378129

Nov 1, 2014

HDMI CABLE


Imenipelekea kuandika post hii kutokana na simu niliyoipokea hivi karibuni kutoka Dodoma,lakini kabla ya simu hiyo kuwaelewesha wadau wangu kuhusu HDMI CABLE ni kawaida tu ila kwenye hii blog yetu leo wacha nitoe kile kidogo nilichonacho kwa wadau wangu!
Unapozungumzi HD
lazima ushirikishe cable inayoitwa HDMI CABLE,kwasababu ili uone picha katika mfumo wa HD ( Ubora wa picha wa hali ya juu ) ni lazima utumie HDMI CABLE,cable ambayo inatoa picha kutoka kwenye inaweza kuwa DVD/Receiver/King'amuzi ama chochote chenye uwezo wa kutoa HD na kupeleka kwenye tv ambayo nayo ikiwa ina uwezo wa kupokea HD.



Hii cable inachomekwa kwenye tundu lililoandikwa HDMI.
Ili kujua kama tv/DVD ama king'amuzi chako ni HD unapaswa kuangalia kwa umakini je kuna tundu lililoandikwa HDMI,kama lipo hilo jua kifaa chako hicho ni HD.
Je unavijua ving'amuzi vilivyo kwenye mfumo wa HD hapa Tanzania..??

  Una swali  piga +255789476655
Share:

7 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kaka naomba kujua ving'amuzi vilivyo HD ni vipi ili niweze kununua!

Anonymous said...

kweli ungefanya busara kama ungevitaja!

Anonymous said...

Natamani sana kujua ving'amuzi vilivyo HD pls vitaje

Anonymous said...

I always spent mmy half an hour to ead this web site's articles daily
along with a mug of coffee.

Anonymous said...

Thank you for the good writeup. It in truth used to be a leisure account it.
Look advanced too more introduced agreeable from you!
By the way, how can we communicate?

Anonymous said...

Hey this is somewhat of off topic but I was wondering if blogs use WYSIWYG editors or if you have to manually
code wwith HTML. I'm starting a blog soon but have no coding know-how so I wanted tto get advice from someome with experience.
Any help would be enormously appreciated!

Anonymous said...

Hi it's me, I amm alo visiting this wweb page on a regular basis, this web
site is really nice and the visitors are truly sharing pleasant thoughts.

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita