Call / WhatsApp +255673378129

Nov 19, 2014

OFFER YA DSTV EXPLORA


Hii maana yake Multichoice Tanzania ( DStv ) imekusudia kila mtu apate kilicho bora kwa bei nafuu na kwa wakati !
Kwa sasa ili umiliki Decoder ya Explora sio lazima mfuko wako uwe umetuuuna la!
Kwa Tsh 281,000 tu unapata Decoder yako ya Explora!
Unazijua sifa za Explora wewe!?



PIGA SIMU +255789476655 | YOTE KUHUSU DSTV
Share:

6 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Hii inakuwa na malipo ya mwezi mkuu!?

Anonymous said...

BADO MPO JUU LABDA INGEKUWA NA MALIPO YA MWEZI HAPO

Anonymous said...

Kwa sasa Offer inaendaje hii bei boss?

Unknown said...

Habari Mustapha naweza kununua decoder pekee ukiwa niko na dishi la startimes? Na kunganisha na decoder dstv ?

Anonymous said...

HABARI MUSTAPHA HIVI UKITAKA KUBADILISHA BANDO INAKUAJE MAAANA NILIKUA NALIPIA KILE CHA GHARAM HALI NGUMU UNAWEZA NIAM,BIA JINSI YA KUBADILISHA NATAKA CHA BEI YA KATI NAZOWEZA KUWATCH NIGERIA MOVIE

Unknown said...

Natak kujua Kama Dikoda ya dstv natak explora Natakiw nifanya

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita