Call / WhatsApp +255673378129

Nov 23, 2014

OFFER YA STARTIMES TSH 59000/=


Tarehe 24/11/2014 rasmi offer inaanza kwa wateja wote wapya!
Hii inakuwa inajumuisha na malipo ya mwezi mmoja!
Swai ambalo ungetamani kuniuliza ni je Startimes hiyo ni ya Dish ama Antenna!
Jibu ni kwamba hii ni offer kwa Startimes ya Antenna!
Wakati ni wako kuchangamkia hii offer

YOTE KUHUSU STARTIMES | PIGA +255789476655
Share:

5 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Waondoe vivurushi ndpo nitaingia starz

Anonymous said...

Hii ingelikuwana ya dish bwana hata mimi ningenunua huwezi kuwa digital kwa antenna!

Anonymous said...

NILIKUPGIA LAKINI NAONA TUMESHINDWA KUSIKILIZANA VIZURI NATAKA HII MI NIPO BUKOBA MTAWEZA NITUMIA?

Unknown said...

Jamani Iringa linStartz?

Anonymous said...

Startimes hawafai kabisa hovyo ndugu zangu ni, tuna wiki mbili wateja wa moshi mitambo Yao imekata, hatuoni chochote, hii ni kwa wale wanaotumia antenna, ukienda kwenye ofis zao majibu ni machafu kabisa

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita