Call / WhatsApp +255673378129

Dec 2, 2014

DCB HQ| DIGITEK INSTALLATION


Hapa ilikwisha fungwa Digitek muda tu ila kutokana na ujenzi wa kupanisha ghorofa mbili zaidi iliwalazimu kuitoa Antenna ilipofungwa awali na kungoja mpaka ujenzi umalizike ili itafutwe pa kufunga tena ili burudani iendelee kama ilivyo awali!
Safari hii wala sikuiweka juu kabisa kama ilivyo awali,tukafanya ya kufanya wazungu wa Digitek wakarudi kisha tukachapa mwendo!

INSTALLATION OF TV SYSTEM | IN OFFICE | IN HOTEL | +255789476655
Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Nilikuwa na startimes ya antenna sasa nataka ya dish je ni lazima kununua complete ama itanilazimu kununua dish tu?
Msaada mkuu

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita