Call / WhatsApp +255673378129

Dec 8, 2014

KUWENI MAKINI | ANAJIITA MUSTAPHA MADISHI | FACEBOOK

Mustapha MaDish mwenyewe.
Kuna wanaodhani ilikuwa ni jambo la siku moja tu na nikaweza kufika hapa ama kufanya meengi kwa wakati mmoja,ama kupata kupokea simu kwa siku mpaka unafanya kutembea na charg!
...haikuwa rahisi hivyo,ilihitajika kwanza kupenda nnachofanya,juhudi na maarifa vilihusika sana..
Ni kawaida hasa wabongo sijajua nchi za wenzetu,ambapo wewe unaumiza kichwa ili ufikie lengo fulani inapofikia either umefika ama unakaribia anatokea mtu ama watu ambao nao wanafanya kama unachofanya mbaya zaidi wanacopy na kupaste kila kitu..
Napenda kuona napata ushindani,nalipenda hili sababu linaniongezea chachu ya kunifanya nifanye kilichobora ili niwe mbora zaidi..
Pengine ndugu zangu mnaweza jisikia vibaya mkadhani naongea hivi kwakuwa mmeanzisha blog kama yangu,vile ambavyo nafanya mimi ndivyo mnafanya ninyi,binafsi najisikia fahari kwakuwa nimeonyesha njia,njia ambayo mpaka naigwa basi ni nzuri na bila ubishi si tu kwa kupitia blog yangu nimehusika moja kwa moja kwa kuwafanya mkaanzisha hizo blog,najua mnajua kwanini naongea hili,ingawaje wengine kana kwamba mnataka ligi na kusahau mimi ni mwalimu wenu tena kwa vitendo kwa kile mnachofanya,si kwa kujifunza kupitia mimi tu kwakuona bali nilianza kuwafundisha kuliunda dish ikaja kutafuta signal na sasa mmekuwa mafundi..
ILA BADO MNACHOJUA NI THERUTHI UKANDA HUU KUNA MEENGI MSIOYAJUA NA USHIRIKIANO NDIO NJIA PEKEE YA KUKOMAA KATIKA FANI HII...
Hampaswi kuleta ligi nami la msingi mnishukuru kwa kuwapa ujuzi ambao hata nife leo still mtabakiwa nao ingawaje kamwe mwanafunzi hawezi kumpita mwalimu kwa maana hakuna mwalimu anayetoa kila alichonacho...
Ila aliyenifanya niandike post hii ni huyu kijana nayejiita MUSTAPHA MADISHI kwenye facebook,awali nilipoambiwa nilichukulia kawaida tu ila sasa nimegundua watu wangu wanaenda sehemu si sahihi,lengo wanataka kunipata mimi matokeo yake wanampata mtu mwengine..
Facebook nina PAGE INAYOITWA MUSTAPHA MADISH SINA A/C YA MUSTAPHA MADISHI,A/C YANGU YA FACEBOOK INAITWA MUU ESMAILY 
TOFAUTI NI NINI HAPA?
PAGE YANGU YA MUSTAPHA MADISH haina I mwisho.
A/C YA MUSTAPHA MADISHI FAKE ina I mwisho.
Kuwa makini sana.
MAWASILIANO YANGU:
+255789476655
mustaphamadish@gmail.com

MUSTAPHA MADISH | +255789476655
Share:

4 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kaka naomba kujua kama Stat tv inaweza kuingizwa manually ktk king'amuzi cha Azam

Anonymous said...

Kaka naomba kujua kama Stat tv inaweza kuingizwa manually ktk king'amuzi cha Azam

Anonymous said...

Kaka naomba kujua kama Stat tv inaweza kuingizwa manually ktk king'amuzi cha Azam

Anonymous said...

Achana na mmakonde huyo nimemcheck bado sana.

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita