Call / WhatsApp +255673378129

Feb 28, 2014

HATIMAE ITV NA EATV KWENYE AZAM TV

Leo ilikuwa ahadi kwamba kuna kitu kipya wadau wa azam tv wakae tayari kukipokea na watafurahia na ndicho kilichotokea!!
Baada ya ngoja ya muda mrefu yametimia!




Mengine yatafuata kama tulivyowaahidi!

Share:

BEI ZA VING'AMUZI VINAVYOFANYA VIZURI!

Kiukweli king'amuzi chenye wateja wengi kwa hapa kwetu Tanzania ni DSTV ukiachilia ukongwe walionao pia vipindi vyao ndo sababu kuu ya kuuza na kama ulikuwa hujui matokeo ya wadau yanaonyesha mpira ndio unauza sana!!
Bei ya DSTV kwa sasa ni 149000/=

King'amuzi ambacho kinauzika zaidi kwa sasa ni Azam tv mpaka sasa ninapoiweka post hii hakuna king'amuzi cha kulinganisha na Azam tv zaidi ya DSTV maana ndipo Azam tv inapoelekea.
Kwa office ninauza ving'amuzi karibia vyote ila kwa siku nauza Azam tv kuanzia 5 mpaka 15 kwa sasa ila kipindi inaanza tulikuwa tunauza kuanzia 17 mpaka 22 hii inaonyesha ni jinsi gani wadau wamepokea vema hii Azam tv!
Bei ya Azam tv ilikuwa tsh 147500/= ikiwa na mwezi mmoja ndani,lakini kwa sasa imepanda na imekuwa ni tsh 165000/=
Katika kununuliwa kinanunuliwa sana kuliko ving'amuzi vyote,nimejaribu kuagalia kwa haraka haraka ni kwasababu ni kipya ama ila ukiangalia zaidi ni kutokana na channels zilizopo na unafuu wa bei hasa malipo ya mwezi ambayo ni tsh 12500/=


King'amuzi cha Zuku kilikuwa na offer ya tsh 75000/= ambapo sasa imepanda na kuwa tsh 105000/= full installation lakini pia ununuzi wake si mzuri sana ijapokuwa inanunuliwa!

DIGITEK tsh 120000/=
STARTIMES
YA ANTENNA tsh 79000/=
YA DISH tsh 105000/=

............... Maelezo zaidi
Mobile: +255714973797/659161111
Office: +255789476655
Email:mustaphamadish@gmail.com
Share:

Feb 27, 2014

LOCAL CHANNEL ZA BURE

 Kiukweli muda kidogo sijafanya kazi za local channel,si mpya wala ya kuirudi ya zamani kuwa mpya kutokana na ukweli kwamba ving'amuzi vimekuwa vingi na wadau wengi nawauzia vya malipo ya mwezi tu!
Ila leo imenirejesha kuleee ambapo ilikuwa kwa siku nafunga dish mbili mpaka 3 zikiwa mchanganyika mpya na zile za kuzirejesha kuwa mpya!
Leo nimeamka na Dish la channels za Tanzania za bure na si za Tanzania tu hata za nje zote zikiwa za bure,nikimaanisha hazina malipo ya mwezi!
Jamaa yeye hakutaka Azamtv,wala DSTV,wala Zuku tv,hata startimes kifupi king'amuzi chochote cha kulipia yeye kajichanga na kutaka hili la futi 6!
Ukizingatia ni kazi yetu tukafanya yetu kama kawa then tukachapa mwendo huku tukiacha zile za Mengi ITV,CAPITAL,EATV zikiwemo,CHANNEL 10 nayo,kuna tv ya taifa TBC1,pia wale ndugu zangu wa mwanza STAR TV kwa upande wa tanzania na channels nyingi za nje.                                                           
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita