Call / WhatsApp +255673378129

Jun 30, 2014

DSTV FAMILY PACKAGE | CHANNELS 70+ | TSH 39,000


Zijue Channel zilizo kwenye kifurushi cha DStv Family
FTA

KBC
CITIZEN
TBC
STAR TV
CHANNEL 10
ITV
Clouds Tv
KTN News
K24
Bukedde Tv
WBS
NBS Tv
e Tv Africa
Dish



MICHEZO


SuperSport Blitz
SuperSport Select1
SuperSport 2Select
SuperSport 9
SuperSport 9 East


SINEMA

Movie Zone
Africa Magic Epic Movies
Africa Magic Hausa
Africa Magic Yoruba
Africa Magic Lgbo
Africa Magic East
Maisha Magic BONGO
M-Net Family
M-Net Movie Action
Africa Magic Family
 


BURUDANI

Telemundo
E!
CBS Reality
CBS Action
CBS Drama
AMC
Vox Africa
TVC E
Sony Entertainment
Sony Max


HABARI NA MAELEZO

BBC World
Al Jazeera
CNBC Africa
Bloomberg Tv
CNC World
SABC News
CCTV News


 MAKALA

National Geo Wild
DiscoveryFamily
ED
Spice Tv
National Geo


MAISHA

Fashion TV


DINI

One Gospel
TBN
Daystar
Islamic channel
EWTN
Inspration TV
Kingdom Africa
Dove Tv
Emanuel Tv
FAITH


MUZIKI

Hip Tv
Sound city
AFRO Music English

WATOTO

Nickelodeon
Disney Junior
JimJam
Mindset Learn
Boomerang

KIMATAIFA

Zee World
NDTV 24*7
RAI International
TV5 Monde Afrique
 CCTV 4
CCTV Documentary
CCTV French
CCTV Entertainment
China Movie Channel
Shanghai Dragon Tv
Hunan Tv
Jiantsu Channel
Phoenix News Ent
RTPI
TV Mundal

RADIO

Over 40 Channels

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa
KUPATA MAFUNDI WA DSTV Bofya Hapa
VIFURUSHI VYA DSTV Bofya Hapa  
KUJUA BEI NA KUNUNUA DSTV Bofya Hapa

Kwa Maelezo zaidi  Piga +255789476655

Share:

Jun 25, 2014

AZAM TV - MASAKI

 Wanapaita ushuani kule upepo unapovuma!
Masaki jijini Dar es salaam!
Azam tv tumetekeleza ile kauli mbiu ya burudani kwa wote!
 Yap!

Kazi Safi!
Hii ni moja kati ya kazi nyingi nilizopata kupitia hii blog,ubora wa kazi yangu na uaminifu ndo sababu ya kufanya kila kukicha idadi ya wadau kuongezeka ni jambo la kushukuru na zuri kwangu!
Namba yetu ile ile +255789476655


Share:

Jun 19, 2014

AZAM TV BURUDANI KWA WOTE INAPOPATIKANA

 Moja ya kazi safi kati ya nyingi!
King'amuzi kinachofanya vizuri nje na ndani ya Tanzania.
.Kwa Vipindi vya nyumbani, ligi za nyumbani na burdani kibao.
Kwa malipo ya mwezi kuanzia 15000 ama kwa wiki kuanzia 5000.
Tupo tayari kukuunganisha sasa na kwa wakati..
Unaweza kupiga no.+255789476655/659161111.
Huduma pia yaweza kukufuata ulipo!
Share:

KAMA KAWA KAMA DAWA!


Dish inavyostahili kufungwa,hapa itapita miaka mpaka kuitwa tena!

Nishafanya yangu ya kupendeza na kuacha wadau wa Azam tv wakila burudani!
+255659161111 Mustapha MaDish
Share:

Jun 18, 2014

DSTV TANZANIA IMETUPELEKA JANGWANI


...kuna mtu aliwahi kusema watu waishio mabondeni ili waweze kuhama watolewe huduma zote muhimu ikiwemo Umeme..
Leo napata jawabu hapa kwa mfano kama ingelikuwa aliyesema ndiye Meneja wa Tanesco sidhani kama angelisema hivyo..
Kama kweli umeme ungetolewa maana yake hata mimi leo nisingepata nafasi hii ya kuipeleka DSTV jangwani maana ni nyumba ya mwisho kabla ya kuufikia mto msimbazi..
Mengine muachie baba na mama!
PIGA +255789476655






Mwisho wa yote tukachapa mwendo!
Share:

Jun 13, 2014

BRAZIL YAANZA KWA KUITANDIKA CROATIA 3-1

 
YOTA aliyebeba matumaini ya Wabrazil wengi, Neymar amefunga mabao mawili
usiku huu katika ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Croatia kwenye mchezo wa
ufunguzi wa fainali za kombe la dunia.
Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali na aliongeza bao
 la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati
yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia madhambi Fred.


 Kipa wa Croatia stipe Pletikosa akijaribu kuokoa shuti la neymar lakini aliambulia patupu!

Mkwaju wa penati wa Neymar kipa japo aliigusa lakini hakuweza zuia kuingia nyavuni!
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa
kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.

 Mercelo akijifunga mwenyewe
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa.Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao.

 Neymar aliyefunga bao mbili!

source:Shaffih Dauda
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia madhambi Fred.Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwaMambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao

Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil  wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali  na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia  madhambi Fred.
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=1982#sthash.ypK7U03G.dpuf
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil  wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali  na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia  madhambi Fred.
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=1982#sthash.pE8rt4Tk.dpuf
NYOTA aliyebeba matumaini ya Wabengi, Neymar amefunga mabao mawili usiku huu katika ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Croatia kwenye mchezo wa ufunguzi wa fainali za kombe la dunia. 
Wenyeji walijifunga mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza baada ya Marcelo kuujaza mpira nyavuni katika harakati za kuokoa na kuzua ukimya mkubwa uwanjani kwa mashabiki wa Brazil waliofurika kushuhudia timu yao..
Mambo almanusura yawe mabaya kwa Brazil  wakati Neymar alipomfanyia faulo mbaya kiungo wa Croatia Luka Modric, lakini mwamuzi Yuichi Nishimura alimzawadia kadi ya njano tu.
Baadaye Neymar alifunga bao la kusawazisha kwa shuti la mbali  na aliongeza bao la pili kwa njia ya mkwaju ya penati baada ya mwamuzi kutoa penati yenye utata kufuatia Dehan Lovren kumfanyia  madhambi Fred.
Oscar alihitimisha karamu ya mabao kwa Wabrazil na kutoka na ushindi wa kwanza katika michuano ya mwaka huu inayofanyika katika ardhi yao.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=1982#sthash.pE8rt4Tk.dpuf
Share:

Jun 10, 2014

VIWANJA VITAKAVYOTUMIKA KOMBE LA DUNIA BRAZIL



Estadio Beira-Rio
porto alegre

Arena Da Baixada
curitiba


Arena De Sao Paulo
sao paulo


Estadio Do Maracana
rio de janeiro

Estadio Minerao
belo horizonte

Estadio Nacional
brasilia

Arena Pantanal
cuiaba

Arena Fonte Nova
salvador

Arena Pernambuco
recife

Estadio Das Dunas
natal

Estadio Castelao
fortaleza

Arena Amazonia
manaus
Share:

TATIZO LA AZAM TV



TUNAWAOMBA RADHI KWA USUMBUFU MLIOUPATA NA MNAOENDELEA KUUPATA...
Yapata wiki sasa Decoder za Azam tv zimekauka na huwa tunapata wakati mgumu sana kuwaruhusu wateja wangu kuondoka pasipo kupata walichokitegemea.....
TATIZO LIPO NJE YA UWEZO WETU ILA LINAFANYIWA KAZI KWA NGUVU ZOTE TOKA MAKAO MAKUU...
Tunachowaomba msituchoke,tunaomba muendelee kuwa wavumilivu na muda wowote toka sasa hduma zitaendelea kama ilivyo ada kuwauzia na kuwafungia wateja wapya!
TUNAWASHUKURU KWA KUWA WAELEWA..
Nachukua nafasi hii kuwashukuru wateja wetu wapya kwa uelewa mlio nao!
+255789476655 KWA MSAADA ZAIDI
Share:

Jun 8, 2014

ANGALIA WORLD CUP FREE!!

Yap! Pengine unaanza kujiauliza unawezaje!? Je unawaibia DStv!!??
Jibu hapana,bila kumuibia mtu kwa kutumia Dish lako dogo unaweza ukaona mpira buree nyumbani kwako!
Hii inahitajika Receiver,Dish KU,Cable,KU lnb baada ya  hapo kabumbu inahamia nyumbani kwako bila malipo yeyote ya mwezi!

Hapa watu wanacheck mpira ndani!
Kwa maelezo zaidi +255789476655 Mustapha MaDish


Share:

Jun 7, 2014

RATIBA ZA MECHI KOMBE LA DUNIA

Kila kona si ya Tanzania pekee ni dunia nzima story ni kombe la dunia hata kama nchi husika haijapeleka timu yao kama  ilivyo sisi Tanzania,bado haitukatazi kuwa na msisimko na kombe hili!
Kwanini kutokana na upenzi wa mpira wa miguu kwa ujumla kwa maana hiyo ukiacha burudani kuna kujifunza pia sasa wacha niwape ratiba itakavyokuwa kuanzia tarehe 12/06/2014

Trh 12/6/2014-Brazil v Croatia saa 5 kamili usiku.

Trh 13/6/2014-Mexico v Cameroon saa 1 kamili usiku.
Trh 13/6/2014-Spain v Netherlands saa 4 kamili usiku.
Trh 13/6/2014-Chile v Australia saa 7 kamili usiku.

Trh 14/6/2014-Colombia v Greece saa 1 kamili usiku.
Trh 14/6/2014-Ivory Coast v Japan saa 10 usiku.
Trh 14/6/2014-Uruguay v Costa Rica saa 4 kamili usiku.
Trh 14/6/2014-England v Italy saa 7 kamili usiku.
Share:

DSTV YA KUCHAKACHUA!

Maswali yamekuwa meengi kuhusu Receiver gani sahihi ya kuweza kupata DSTV ya wizi!!
Ijapokuwa Receiver ni nyingi na kila kukicha zinakuja namna za kufanya wizi huu yaani kufungua channels ambazo zinalipiwa kwa kupata kwa gharama ya chini sana ambayo kwa lugha nyepesi ni bure lakini jibu hakuna Receiver nzuri ya kuchakachua DSTV ama channels nyengine za kulipia wewe utake kupata bure!
Narejea tena HAKUNA receiver ya uhakika ya kuibia kampuni zinazotoa huduma zao kwa malipo maalum!
Kwa watumiaji wazuri wa wizi huu watakuwa sambamba na mimi kwakuwa toka zilipoanza njia za kupata dstv kwa kuiba zinakuwa hazina uhai!
Miaka kama mitatu nyuma nakumbuka walilia watu wengi sana ambao nawafahamu na wengine kwa kunipigia simu kwa kutaka msaada baada ya kupigwa pesa nyingi ili wapate DSTV ya bure matokeo yake zikazima zote!
Wapo waliopata bahati ya kuona miezi 6 na zaidi ila wengi walipata bahati nzuri zaidi ya kupata kuona dstv ya bure kupitia hivyo vidubwana kwa week moja na wengine siku 4!
Kiukweli kila leo huwa napenda kusema shortcut inagarimu sana!
Muda ambao wewe unaumiza kichwa utaiba vipi,mwenye mali nae anaumiza kichwa atadhibiti vipi wezi msipate nafasi!
Ukifikiri vizuri DSTV wala si bei kubwa kutokana na yaliyomo,pia uzuri wake ina vifurushi kwa wenye uwezo tofauti,kwa uzuri zaidi unweza ukaanza na kifurushi cha bei ya chini na inapotokea mgodi umetema unapata hata kama mwezi haujaisha!
JIUNGE LEO KWA PUNGUZO KUBWA KABISA OFFER YA KOMBE LA DUNIA!!
TSH 129,000/=
UNAPATA KUFUNGIWA NA VIFAA VYOTE VINAVYOHUSIKA!
KISHA UNACHAGUA KIFURUSHI AMBACHO CHA CHINI KABISA NI TSH 165000/=
JIKUNE UNAPOJIWEZA!!
PIGA +255789476655/14973797/659161111 UUNGANISHWE SASA!



Tukiwa katika kuunganisha wateja wapya!

Share:

Jun 6, 2014

DSTV TANZANIA OFFER Inafanya vizuri!

Baada ya kukumbuka site nimerejea kama kawa na leo nimeamka na DSTV ikiwa ni OFFER ya Tsh 129000/= Unapata kufungiwa na vifaa vyote isipokuwa inakuwa haina kifurushi cha mwezi!
Moja nilifunga kiwanja cha nyumbani Magomeni ila hii Magomeni Makuti!
Ya pili nilifunga sehemu moja wanapaita Kinondoni Manyanya.
Picha nazo zilipatikana ijapokuwa kwa uchachee!!
KUUNGANISHWA/MSAADA KIUFUNDI PIGA +255789476655

 Magomeni

 DStv magomeni

 DStv magomeni

 DStv kinondoni

 DStv kindondoni

 DStv kinondoni

DStv kinondoni
Share:

FREE CHANNELS KWENYE C BAND

C band kwa signal
 Kiukweli kwa kiasi kikubwa watumiaji wa Dish za Local wamepungua sana kutokana na ving'amuzi kumiminika na kuwa bei rahisi!
Katika uchunguzi binafsi nimegundua watanzania wengi wanapenda ving'amuzi vya madish na ukweli ni kwamba ving'amuzi vya kutumia Dish ndivyo ving'amuzi mkataba kwa signal!
Katikati ya jiji tukashusha signal za local kisha...!!
Mustapha MaDish baada ya kusign mi huyoooo!!
UNANIHITAJI!!!!???
+255789476655
Share:

Jun 1, 2014

CHANNELS UNAZOWEZA KUONGEZA KWENYE AZAM TV

 Decoder ya Azam tv



Channel za Azam tv

Dish ya Azam tv ikiwa kwenye signal

Swali la wengi ni kwamba je unaweza kuongeza channel kwenye Decoder ya Azam tv na ni zipi!?
Hakika unaweza kuongeza na baadhi ya channel ambazo zinapendwa na wengi ambazo unaweza kuongeza ni African tv swahili ya sudan,RTS na nyenginezo..
Kwa maelezo zaidi unaweza wasiliana nasi kwa kuja ofisini ama piga simu 
no.0789476655/659161111-Mustapha MaDish.

Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita