Call / WhatsApp +255673378129

Nov 26, 2014

MIEZI MITATU BURE | TOKA KWANGU | KUJA KWAKO


Cha kwanza unachojiuliza ni miezi mitatu ya bure toka kwangu kuja kwako ni ya nini!?....
Nagawa ving'amuzi....?
Nawalipia Malipo ya mwezi.......??
Nafunga ving'amuzi bure.......??
Jibu lake ni rahisi sana....!!


1.Chukua simu yako bofya no.+255789476655
2.Chagua king'amuzi ukipendacho
au sema channel upendazo ili upate ushauri king'amuzi gani sahihi kwako.
3.Tayari una king'amuzi ila una tatizo la signal,picha inakatakata.
4.Unataka kuhama na king'amuzi chako?
5.Umenunua king'amuzi chochote popote na unahitaji kufungiwa?

MIEZI MITATU
Ikiwa tutakufungia king'amuzi chochote..
Iwe kipya,umenunua kwetu ama laa!
Iwe cha zamani ila tumekuja kukurekebishia!
Iwe tumekuhamisha toka sehemu moja kwenda nyengine!
Utapata huduma bure ndani ya miezi mitatu baada ya kukufungia/kukurekebishia kwa mara ya kwanza.
Hii ni kwa wateja wote kuanzia tarehe 01/12/2014
Hii inatokana na kujua ambacho nakifanya na kuwa na uhakika nacho ijapokuwa hata makampuni mengine ya ving'amuzi wanatoa miezi mitatu baada ya hapo unalipa pesa kila fundi anapokuja..
Kwanini ulipe mara kwa mara kwa fundi wako?
Lipa mara moja pata huduma miezi mitatu bure!
Ila hii ni kwa ving'amuzi vyote vinavyotumia Dish!
Iwe DSTV,ZUKU TV,AZAM TV,STARTIMES,CONTINENTAL
Ntabaki kuwa mbora na wengine watafata daima milele!
Ulipo nipo nawe piga sasa +255789476655
mustaphamadish@gmail.com
Share:

Nov 23, 2014

OFFER YA STARTIMES TSH 59000/=


Tarehe 24/11/2014 rasmi offer inaanza kwa wateja wote wapya!
Hii inakuwa inajumuisha na malipo ya mwezi mmoja!
Swai ambalo ungetamani kuniuliza ni je Startimes hiyo ni ya Dish ama Antenna!
Jibu ni kwamba hii ni offer kwa Startimes ya Antenna!
Wakati ni wako kuchangamkia hii offer

YOTE KUHUSU STARTIMES | PIGA +255789476655
Share:

Nov 19, 2014

OFFER YA DSTV EXPLORA


Hii maana yake Multichoice Tanzania ( DStv ) imekusudia kila mtu apate kilicho bora kwa bei nafuu na kwa wakati !
Kwa sasa ili umiliki Decoder ya Explora sio lazima mfuko wako uwe umetuuuna la!
Kwa Tsh 281,000 tu unapata Decoder yako ya Explora!
Unazijua sifa za Explora wewe!?



PIGA SIMU +255789476655 | YOTE KUHUSU DSTV
Share:

Nov 14, 2014

AZAM TV | UBUNGO FLAT

Hapa bada niwe tu mkweli,awali nilikuja kufunga Continental ya Dish ila mteja wangu huyu alinunua mwenyewe Decoder ambapo dish alikuwa nayo nilichofanya ni kufanya yangu ili Channel za Continental ziweze kumwagika bila chenga!
Yap nikafanya ya kufanya zikajaa ambapo idadi ikafika kama 90 hivi zote zikiwa buree!!
Ila kilichotokea ndicho kilichopelkekea huyu mteja kuuliza king'amuzi kingine na ndipo akaangukia kwenye hii Azam tv....!!

Mashine ikipambana na zege..

Nguvu kidogo...

Hapa mteja atanisahau!

Sababu ya kuwa tofauti na wengine..

...............!!



Baada ya hapo unadhani ntamalizaje kama si kama hivi:-
KUPATA AZAM TV | PIGA +255789476655 | TUNAKULETEA ULIPO.
Share:

UNAIJUA CABLE TV !?


Maswali yamekuwa meengi mkitaka kujua cable tv inafanyaje kazi na huku wengine mkitaka kujua namna ya kuanzisha cable tv zenu huku mkitoa ushuhuda jinsi zilivyo na wapenzi hasa mikoani kwakuwa ni rahisi sana tofauti na huduma nyengine za ving'amuzi...!!
Je kweli ni rahisi!?
Je unaweza ukaanzisha cable tv yako??
Unajua cable tv ni nini?
Nipo hapa kukujuza yote yanayohusu mambo ya tv channels,hivyo ni jukumu lako kuuliza na hata kutoa maoni yako...
Nitazungumzia CABLE TV kinagaubaga lakini naomba iwe ahadi isiwe leo,ambacho unapaswa kufanya ni kufatana nami ili usipitwe na kapost hicho hiyo siku ikifika!
JIFUNZE KUHUSU VING'AMUZI | PATA HABARI | PATA HUDUMA BORA

Share:

Nov 12, 2014

OFFER YA DSTV BADO INAENDELEA | TSH 99,000/=

 Setting zikiendelea..
Hapa ni mbezi,unaingilia maramba mawili ila huko mbele nimesahau panaitwa Mbezi gani,kwakuwa kile cha umuhimu kutakiwa kufanya nimefanya kwa usahihi kabisa hivyo tukishare picha sio mbaya!




KUUNGANISHWA NA DSTV | MAFUNDI WA DSTV | PIGA +255789476655
Share:

Nov 8, 2014

WEWE NI FUNDI MADISH | HII INAKUHUSU SANA


Hapa nazungumzia wale ambao wapo kitambo na ambao wamejiunga hivi karibuni ama hata kama unataka kuingia ukanda huu kwa mikono miwili nakukaribisha na hii post inakuhusu sana zaidi ya yote ukiyachukua yangu na kuyafanyia kazi majibu utanirejeshea!
Ufungaji wa Dish ya Azam tv..
Hivi karibuni nilikuwa pale Tandika Flat,katika ile huduma piga simu tunakufata ulipo..
Ilihitajika Azam tv nasi tukatekeleza,tulipofika kazi ikaanza kwa kuangalia pa kufungia Dish kwanza haikuwa tabu kwakuwa tayari dish nyengine tena zikiwemo Azam tv zimeshafungwa, na ndipo nikapata hii post..






Hii ni kazi ya Fundi ambaye anapewa dhamana kama ambavyo napewa mimi na wateja ila matokeo yake kinachofanyika ni kulipua kama hivi ili tu picha ipatikane ndani biashara imeisha!
Nikaona nifunge hapo hapo ili hata kama naye ni mpitiaji humu aone alichofanya alau nafsi itamsuta na kuona alivyoitendea taaluma ndivyo sivyo na mteja wake pia huku wengine mkijifunza msije kuwa kama mafundi hawa!

Ona kazi ya Mustapha MaDish...


 Tofauti hata kwa macho inaonekana!

 Ugumu upo wapi kufanya hivi..

 Angalia na uyafanyie kazi..

 Tofauti ya kazi zangu na wengine..

 Sababu ya kuitwa Mustapha MaDish..


 Setting zikiendelea..





Baada ya kudrill..

Nikiwa nimeachana na hiyo issue ya Azam tv,nikakumbuka kituko kingine nilikutana nacho Kimara,nikiwa katika huduma yangu ile ile ya PIGA SIMU TUKUFATE ULIPO..
Safari hii sio Azam tv tena...
Ufungaji wa Dish ya DStv...
Kwakweli hii ni kituko,hivi nawe mteja kabisa unakubali kazi ya fundi wako hivi!!??








Ambacho kilichofanya mpaka nianze kumshangaa mteja kwakuwa ndipo mlango wake ulipo maana yake ili aingia nyumbani kwake lazima apitie lilipo hilo dish,jibu lake ameridhika ama!?
Kiukweli kama ningemkuta wala nisingevumilia ningeongea nae mawili matatu kuhusu hilo dish...

Ona kazi ya Mustapha MaDish..






Ustadh nae...

Wale mafundi nonihino wado waliendelea kunishangaza...
Ufungaji wa Dish ya Zuku...
Palee Flat za Ubungo ndipo nilipokutana na ufundi huu..
ukipiga upepo kweli jamani hii Dish haiondoki kweli!!??
Bahati mbaya ama bahati nzuri ukifanyakazi katika hizi flat mara nyingi unapewa mwenyeji wa kuwa nae unapokuwa juu,swali je mwenyeji wa huyu fundi aliifurahia hii kazi!!??

KAZI SAFI | MAFUNDI WAZOEFU | DISH AINA ZOTE | PIGA 0789476655
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita