Call / WhatsApp +255673378129

Mar 27, 2015

VIFURUSHI VYA AZAM TV | AZAM TV PACKAGES


Awali hakukuwa na mfumo huu wa vifurushi ila kutokana na uendeshaji na kutafuta maboresho imepelekea kuanza mfumo huu wa vifurushi,katika kumbukumbu za wengi ndicho king'amuzi kilichokuwa quality,channels nyingi ila malipo ya mwezi ni madogo!
Hivi ndivyo vifurushi vya azam tv,idadi ya channel na bei:-

1.AZAM LITE PACKAGE
Ina channel 40+ bora
Malipo ni Tsh 10,000/= kwa mwezi
Malipo ni Tsh 3,000/= kwa wiki
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2.AZAM PURE PACKAGE
Ina channel 60+ bora
Malipo ni Tsh 18,000/=
Malipo ni Tsh 7,000/= kwa wiki
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3.AZAM PLUS PACKAGE
Ina channel 90+
Malipo ni Tsh 23,000/=
Bofya Hapa kujua channel zilizopo katika kifurushi hiki!

4.AZAM PLAY PACKAGE
Ina channel 105+
Malipo ni Tsh 28,000/=

MSAADA - KIUFUNDI | KUNUNUA | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | 
+255 789 476 655
Share:

85 Unasemaje..??:

Anonymous said...

kaka mbona huku sisi tunauziwa bei juu sana

Unknown said...

Kwa niaba ya Mustapha MaDish pole ndugu ambaye umecomment na wote ambao mnakumbana na kuuziwa bei juu,ambacho tunakifanya ni kujaribu kuwapa maelekezo wateja wa ving'amuzi karibu vyote kwa mikoa yote mawakala sahihi ambapo mnaweza mkanunua kwa bei elekezi..

Anonymous said...

Hii ishirini ni pamoja na VAT au ni VAT inclusive?

Unknown said...

Wiki moja iliyopita, leo ni tarehe 3 Sept., nilikuwa naangalia Alhazeera na BBC kwa Tsh 12 000. Jana nimenunua kifurushi kile kile TV station hizi hazionekani! Imeni disapoint. Kubadilisha badilisha products, hata kama ni Benki, hufanya wateja kufunga accounts. So tuwe consistent and predictable kwa package zetu.

Erhard Rutakulemberwa said...

Nikihitaji kifurushi kimoja chenye channel zote za Azam tv nafanyaje!?

samoramsouth said...

Naomba nisaidie nimenunua leo kin"gamuzi cha azam, nimelipia 12000, bado hawajanifungulia, hv inachukua muda gani hadi kufunguliwa au kuba tatizo leo? 0714128855/0759200019 mamba ya smart card ni 212934176380

Unknown said...

Nimenunua jana package ya 25000 naona sioati baadhi ya chanel pls msaada

Unknown said...

Kila nikijaribu kununua kifurushi naambiwa sina salio nimekwisha weka tsh 45000 mpaka sasa

Unknown said...

Kila nikijaribu kununua kifurushi naambiwa sina salio nimekwisha weka tsh 45000 mpaka sasa

Unknown said...

Nimenunua kifurushi cha 16000 kihindi tupu napata colors th

baharia said...

Kifurushi cha azam sports kuna channel gan na gani???

Unknown said...

Ninafanyaje kubadili usajili wa king'amuzi cha azam nimekinunua kwa mtu

Unknown said...

How do I pay

Anonymous said...

Nikitaka kifurushi cha AZAM PAY cha sh. 25,000/- pamoja na AZAM SPORTS cha sh. 15,000/- inabidi nilipe mbalimbali au kwa mkupuo mmoja yaani sh. 40,000/-?

Anonymous said...

kingamuzi kimekaaa muda mrefu bira kulipiwa kimeandika smart card is expayd nafanyaje

Anonymous said...

Je kampuni ya azam tv mna mipango gani ya kuonyesha ligi nyingine tofauti na la liga na vpl?

emmanuel said...

habari mie king'amuzi changu cha azam tv kimefuta channels zote

Unknown said...

Na Channel za bure zipo ngapi ili nijue kabla sijaunganisha kutumia. Course kwa Kigoma nasikia Channel mbili tu za ITV na Clouds ndo bure. Je ni kweli kama ni kweli kwanini TBC, CHANEL TEn, Star tv, EATV, capita tv, Tumain tv, Uhuru tv, n.k zisiwemo kwenye vifurushi vya bure kama maelekezo ya tcra yanavyoelekeza. Na kuendelea kujitenga wanasababisha mtu mmoja kuwa na ving'amuzi zaidi ya vitatu. Off course huduma za ving'amuzi zinaboa

Mustapha MaDish said...

Bwana Daniel pole..! Local channel zilizopo kama malipo yakiisha zinabaki kwa muda wa siku 21 maana yake wiki 3 kisha zote zinakata ikitokea zinabaki chache ama hazibaki kabisa inabidi utoe taarifa

Mustapha MaDish said...

Kinatoa ujumbe gani ambaye king'\amuzi chako kimefuta channel zote!?

Unknown said...

King'amuz changu cha azam kinaweek sasa kinaonyesha no signal sielewi tatizo nin maana hata channel ya matangazo nayo haionyeshi why?

Unknown said...

King'amuz changu kinaandika no signal why tatizo ni nin?

Unknown said...

Habari, muda mrefu nalipia 27,000/= napata vifurushi vya Azam Pure na Azam Sports, sasa nataka nipate Azam Plus na Azam Sports nifanyeje.

KINYOWA FAMILY said...

Habari, kwenye azam Kuna channel inayoonyesha michezo ya mieleka wwe?
Ahsante

Anonymous said...

Acha kutudanganya mbona mimi kifurush kimeisha Leo tarehe 5 na wamekata chanl zote ispokuwa Tbc?..TcrA njooni mtusaidie hili nalo nibjipu

Unknown said...

Nakupigia hupatikani

Unknown said...

I have 8 months without make the payment of my azamtv account, now I question ... What could happen before make payment ..?
I'm worried it's because I'm out I mean I live out of Tanzania...
There is no Someone suppose who to help me my doubt...

Anonymous said...

Nimelipa17000 nikanunua kifurushi cha 15000 change yangu nitaipataje

Unknown said...

Bora kuhamia dstv tu Kwanza king'amuzi ni elfu 80 tu wakati azam ni 160,000/- bila kufungiwa kisha dstv wana pakeji ya 19,900/- bomba ambayo ni nzuri kuliko hio ya azam ya 28,000/-.

Unknown said...

Tangu tarehe 25/06/2017 sipati Tv 1 Tanzania.Jee,kuna tatizo gani?

Frank said...

Tv1 wameitoa azamtv kwa nini...wairudishe kwakuwa walikua wanarusha EPL siku saiv sioni ubora wa azamtv watatufanya tuhame

Anonymous said...

Warudishe Tv1

Anonymous said...

Naomba msaaada namna ya kulipa AZAMTV King'amuzi kwa kutumia M-PESA ?

Unknown said...

Natamani kununua kingamuzi chenu ila nataka package yenye channel zote bila restriction

Unknown said...

Naomba nipewe utaratibu wa kulipia Clouds plus" please

Unknown said...

kwa nn mmetoa tv1 bora mrudishe tunapata tabu sanaaaaaaa

Unknown said...

Habari nataka kifurushi cha week cha 7000 mbona nashindwa nisaidie pleas.

Unknown said...

Leo nimenunua kifurushi cha shilingi elfu 7000 nimefuata taratibu za kubadilisha kifurushi toka azam lite na kwenda azam pure lakini ni zaidi ya masaa manne sijabadilishiwa na huduma kwa wateja namba zinatumika muda wote.Naomba msaada.

Unknown said...

kikweli sijaona kwa kampuni kubwa hivi no ya customer care haipatikani kwa siku mbili hii huduma bora ndiyo iko hivi au tumeshakuwa wengi sana tumekuwa kero na wasumbufu

Unknown said...

kikweli sijaona kwa kampuni kubwa hivi no ya customer care haipatikani kwa siku mbili hii huduma bora ndiyo iko hivi au tumeshakuwa wengi sana tumekuwa kero na wasumbufu

Unknown said...

Niko arusha. Nataka dish la Azam. Bei kwa sasa ni ipi?

Unknown said...

bei ya kingamuzi tsh ngapi tuliopo dodoma mana bei juu sasa hatuelewe bei hali ni tsh ngapi

Unknown said...

tupe bei kwa ya dishi la azam kwa sisi wa dodoma

Unknown said...

bei ya kingamuzi tsh ngapi tuliopo dodoma mana bei juu sasa hatuelewe bei hali ni tsh ngapi

Unknown said...

Mna utaratibu gani huu ya channel zilizoondolewa na kama bado kurudishwa vp bei za malipo Kwa Sasa.

Elisha said...

Vip azam tv bie ya malipo hai pungui kutokana na channel zilizo punguzwa

Unknown said...

Nimenunua kifuru cha AZAM PURE lakini channel hazioneshi.




Unknown said...

Vp naomba kuuliza hivi ni lini mtaturejeshea Chanel nyngine ili tuweze kufurahia zaidi huduma zenu .AMIRI NGOMA

Unknown said...

Turudishieni taarifa ya habari na hiyo channel isilipiwe tunaomba

Anonymous said...

Ni lini mtaturejeshea channel zingine ili tuendelee kufurahia zaidi maana naona Mwaka umeisha halafu kimya kinaendelea.Tumemiss huduma zingine jamani lishughulikieni na hilo nalo / Azam TV nawa appreciate hakika burudani kwa wote!

Anonymous said...

I visited multiple web pages but the audio quality for audio songs existing at this web site is truly superb.

Anonymous said...

But unlike other SEO companies London or elsewhere,
we forge long term partnerships for long-lasting success.
It provides flexible operating here we are at the employees and one can have
pretty large wage along with the appropriate spare time.
By using a service that can provide you will all of the various choices, you
will save time and money getting online and noticed.

Anonymous said...

You will draw more loyal readers to your site and keep your readers coming back because you are sharing the
best with them. By using the data from Google Adwords, SEO company London experts can match keywords that they want to target and are specific.
This means that all of the content that your users can see, including buttons, menus and clickable links
will be index-able.

Anonymous said...

This gives a website web presence and it gives you a major advantage over your competition. There is absolutely no point in finding
one of the great London Accountants only to find that they are actually too far away from your place of business to be accessible.
But if you are not, then you have to create a distinct identity for your business.

Anonymous said...

So, additional efforts have to be undertaken to develop the visiting
page of your website. Each of the images on your web site should really have proper detailed titles and alt tags
too. You can get the contact details of the various seo companies
by surfing around the globally web and create sure that you go
through details of the training organization successfully before you be a part of your name for
having a bright profession ahead.

Anonymous said...

This gives a website web presence and it gives you a major advantage over your competition. Furthermore, a keyword
should never feel like it is forced awkwardly to fit into content.
This means that all of the content that your users can see, including
buttons, menus and clickable links will be index-able.

Anonymous said...

Some SEO companies may only offer basic professional SEO services.
The company can provide online businesses with the means to reach goals
and achieve greatly. By using a service that can provide you will all of the
various choices, you will save time and money getting online and
noticed.

Anonymous said...

They mainly put their efforts in making space at the page by designing locations of everything, including navigation bars, search box and all.

There is absolutely no point in finding one of the great London Accountants only to find that they are actually too far away
from your place of business to be accessible.
But if you are not, then you have to create a distinct identity for your business.

Anonymous said...

You will draw more loyal readers to your site and keep your readers coming back because you are sharing the best with them.
Typically, it's good practice to maintain about a 5% usage for your keywords or phrases.

While it may take a little while for changes in design culture to filter out into the more
remote regions of the UK, London because of its position as the capital city gets to see new concepts first,
thanks to a plethora of exhibitions and shows dedicated to web design.

Anonymous said...

You will draw more loyal readers to your site and keep your readers coming back because
you are sharing the best with them. It provides flexible operating here we are at
the employees and one can have pretty large wage along with the appropriate spare time.
By using a service that can provide you will all of the
various choices, you will save time and money getting online and noticed.

Anonymous said...

He forms the enjoyable and informative articles related to Web
Design Company and SEO Company in the UK.
Typically, it's good practice to maintain about a
5% usage for your keywords or phrases. You can get the contact details of the various seo
companies by surfing around the globally web and create sure that you go through
details of the training organization successfully before you be a part of your name
for having a bright profession ahead.

Anonymous said...

So, additional efforts have to be undertaken to develop the visiting page of your website.
There is absolutely no point in finding one of the great London Accountants only to find
that they are actually too far away from your place of business to
be accessible. This means that all of the content that your users can see, including buttons,
menus and clickable links will be index-able.

Anonymous said...

But unlike other SEO companies London or elsewhere, we forge long term partnerships for long-lasting success.
They would try to make your site famous through social networking sites
like my space, Facebook, Twitter, Digo, Digg, Delicious, etc as a part of their SEO services London.
But if you are not, then you have to create a distinct identity for your business.

Anonymous said...

So sites with excellent quality content become valuable to search engines.
It provides flexible operating here we are at the employees and
one can have pretty large wage along with the appropriate spare time.
Many organisations are finding that they have a better outcome when they employ a service to
perform their London web design as well as Facebook development and social media UK options.

Anonymous said...

He forms the enjoyable and informative articles related to Web Design Company and SEO Company
in the UK. Furthermore, a keyword should never feel like it is forced awkwardly to fit into content.
Taking a look at other company's websites within a particular
niche field can clue you in to what's being actively searched for,
and what's not.

Anonymous said...

This gives a website web presence and it gives you a major advantage over your competition.
It provides flexible operating here we are at the employees
and one can have pretty large wage along with the appropriate spare time.

Taking a look at other company's websites within a particular niche field can clue you in to what's being actively searched for, and what's not.

Anonymous said...

You will draw more loyal readers to your site and keep your readers coming back because
you are sharing the best with them. They do their level best to make
a site attractive and beautiful. You can get the contact details of the various seo companies by
surfing around the globally web and create sure that you go through details of the training organization successfully before you be a part
of your name for having a bright profession ahead.

Anonymous said...

But unlike other SEO companies London or elsewhere, we forge long term partnerships for long-lasting success.

They would try to make your site famous through social networking sites like my space, Facebook,
Twitter, Digo, Digg, Delicious, etc as a part of their SEO services
London. asia expert in providing website designing, website development, seo services, website hosting,
digital marketing services and offering professional readymade
scripts without any hesitation work and these Yourneeds.

Anonymous said...

He forms the enjoyable and informative articles related to Web Design Company and SEO Company in the UK.
Furthermore, a keyword should never feel like it is forced awkwardly to fit into content.
While it may take a little while for changes in design culture to filter out into the more remote regions of the UK, London because of its position as the capital city gets to see new concepts first, thanks to a plethora of exhibitions and shows dedicated to web design.

Anonymous said...

He forms the enjoyable and informative articles related to Web Design Company and SEO Company in the UK.
By using the data from Google Adwords, SEO company
London experts can match keywords that they want to target and are specific.
While it may take a little while for changes in design culture to filter out into the more remote regions of the UK,
London because of its position as the capital city gets to see
new concepts first, thanks to a plethora of exhibitions and shows dedicated to web design.

Anonymous said...

But unlike other SEO companies London or elsewhere, we forge long
term partnerships for long-lasting success. The company can provide online businesses
with the means to reach goals and achieve greatly. Many organisations are finding
that they have a better outcome when they employ a service to perform
their London web design as well as Facebook development and social media UK options.

Anonymous said...

So, additional efforts have to be undertaken to develop the visiting page of your website.
It provides flexible operating here we are at the employees and one can have
pretty large wage along with the appropriate spare time.
While it may take a little while for changes in design culture to filter out into the more remote regions of the UK, London because of
its position as the capital city gets to see new concepts first, thanks to a
plethora of exhibitions and shows dedicated to web design.

Anonymous said...

They mainly put their efforts in making space at the page
by designing locations of everything, including navigation bars, search box and all.

There are always product demonstrations and distinctive displays unfold through Hamleys
seven dynamic floors. You need to check that they are qualified accountants as many will
not be.

Anonymous said...

This gives a website web presence and it gives you a major advantage over your competition. They
would try to make your site famous through social networking
sites like my space, Facebook, Twitter, Digo, Digg, Delicious, etc as a part of their SEO services
London. Taking a look at other company's websites within a particular niche field can clue you in to what's being actively searched for, and what's
not.

Anonymous said...

Hello there! I just want to give you a big thumbs up for your excellent info you have got here on this post.

I am coming back to your site for more soon.

Anonymous said...

There are lots of software companies all around the world,
one of which is London web agency. By using the data from Google Adwords, SEO company London experts can match keywords that they want
to target and are specific. This means that all of the content that your users can see, including buttons, menus and clickable
links will be index-able.

Unknown said...

Nimelipia ila bàdo sipat channel

Unknown said...

Mbona siipati wasafi tv?

Unknown said...

Mbona siipati wasafi tv?

Anonymous said...

Hey! This is kind of off topic but I need some help from an established blog.
Is it hard to set up your own blog? I'm not very techincal but I can figure
things out pretty quick. I'm thinking about making my own but I'm not
sure where to start. Do you have any tips or suggestions?
Thank you

Unknown said...

Kulipia kifurushi cha azam play kwa wiki ni sh ngapi?

Anonymous said...

Hamna yakuchagua chanel unazotaka

Anonymous said...

I’m not that much of a online reader to
be honest but your blogs really nice, keep it
up! I'll go ahead and bookmark your site to come back
later. Many thanks

Unknown said...

Kwa Arusha ofisi zenu zipo wapi?

Unknown said...

Nimelipia kifurushi cha 23,000/= akaunti 212943140017 lakini channel ya landscape haioneshi, je tatizo ni nini?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita