Call / WhatsApp +255673378129

Jun 26, 2015

AZAM TV BEI MPYA TSH 135,000/= BILA UFUNDI!


Ingawaje mikoani na sehemu nyingi tu bado wanauza bei wanazojua wao ila bei elekezi ni tsh 135,000 tu,hii inakuwa bila kifurushi wala ufundi!
Ili ufungiwe itakulazimu kulipia tsh 30,000 tu,ambao itakulinda kwa muda wa miezi mitatu na ikitokea ikasumbua fundi atakuja kumaliza tatizo bila gharama yeyote.
Bei ya zamani ya offer ilikuwa tsh 99,000/= ambapo sasa haipo tena.
Bei mpya ni Tsh 135000 utapata Dish,Decoder,Cable,n.k
baada ya kununua ili uweze kuona itakulazimu kuchagua na kulipia moja ya vifurushi vifuatavyo:-
1.AZAM PURE PACKAGE
Ina channel 25+ bora
Bei mpya tsh 12,000/=
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2.AZAM PLUS PACKAGE
Ina channel 50+
Bei mpya tsh 20,000/=
Bofya Hapa kujua channel zilizopo katika kifurushi hiki!

3.AZAM PLAY PACKAGE
Ina channel 80+
Bei mpya tsh 25,000/=
Bofya Hapa kujua channel zilizopo katika kifurushi hiki!

4.AZAM SPORTS Add-On 
Ina channel 4 tu.
Bei tsh 15,000/=

5.INDIAN Add-On
Ina channel 15+
Bei tsh 6,000/=

6.INDIAN Bouquet
Ina channel 23+
Bei tsh 16,000/=


ZINGATIA:Muda wa kupiga simu ni kuanzia saa 08:00 asubuhi - 20:00 usiku.
MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | +255789476655
Share:

2 Unasemaje..??:

Unknown said...

Je ukiwa na monitor ya cputer UNAWEZA unganisha na king'amuzi Cha Azam??

Kashy sports said...

Azam kwa sasa inabei gani

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita