Call / WhatsApp +255673378129

Jul 18, 2015

UPO FACEBOOK !!!???



Je blog yetu imekusaidia kwa kiasi fulani,kwa kukupatia maelezo kwa wakati na kwa kina kuhusu ving'amuzi bila kuchagua ama je blog yetu imekusaidia kukuwezesha kupata huduma ya kununua na kufungiwa king'amuzi kwa wakati? Ama imekusaidia kupata mafundi wa kukufungia king'amuzi chako kwa ubora stahiki!
Una maoni yeyote ili tu tuweze kufanya vizuri zaidi ama una la kutukosoa pale tulipoteleza!?
Tupo hapa kupokea yote bila kubagua lolote kwetu ni msaada wa kutufikisha tunapofikiri!
Swali langu je upo FACEBOOK !? kama ndivyo Bofaya Hapa kisha like page yetu ili uweze kuwa miongoni mwa wadau wetu watakaopata chochote kipya kuhusu king'amuzi kwa wakati ama pia waweza kutuandikia chochote na tukakifanyia kazi kwa wakati hata kama haitakuwa umepiga simu.

Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita