Call / WhatsApp +255673378129

Oct 15, 2015

ZUKU TV TANZANIA VIFURUSHI NA BEI MPYA


 Tsh 75000/= Unapata king'amuzi kikiwa na muda wa kuona wa mwezi mmoja.
Inakuwa na vifaa vyote kama:Dish,Decoder,LNB,Cable na stendi.
HII INAKUWA BILA UFUNDI 
Kwa sasa kuna vifurushi vinne tu navyo ni kama ifatavyo:-
  1. ZUKU CLASSIC TSH 15,500 Per Month - Channels 69. Bofya hapa
  2. ZUKU PREMIUM TSH 22,500 Per Month - Channels 100. Bofya hapa
  3. ZUKU ASIAN TSH 24,000 Per Month - Channels 27 Bofya hapa
  4. ZUKU ASIAN ( yenyewe ) TSH 32,000 Per Month - Channels 33 Bofya hapa
Kwa maelezo zaidi ama msaada kiufundi.
+255659161111/789476655
Share:

2 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Tunaomba mtuwekee list ya channels ili tupate kujua kwa kila kifurushi

Wasifu blogger said...

Hiyo ya 32,000 unapata na Indian movie or channel zote kwa ujumla?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita