Call / WhatsApp +255673378129

Aug 10, 2015

STARTIMES INDIAN PACKAGE | KIFURUSHI CHA KIHINDI | TSH 18000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha Nyota:-
Kuna zaidi ya channel 8!


BOLLYWOOD HD
STAR GOLD
STAR PLUS
ZOOM
TIMES NOW
ST PLUS
ZEE CINEMA
ZEE TAMIL

MSAADA KIUFUNDI |USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU STARTIMES | +255789476655
Share:

2 Unasemaje..??:

Unknown said...

HABARI,
MIMI NAITWA LUCAS MWAIMU NI MTEJA WA STARTIMES NAMBA 018 1941 2078 NILIFIKA KITUO CHA MOSHI NIKITAKA KUONA CHANEL ZA TANZANIA, NIKAAMBIWA NILIPIE SHS 44,000 TAREHE 24/11/2018 MUDA SAA 5 ASUBUHI NILIFANYA MALIPO NAKUPEWA RISITI. CHAKUSHANGAZA SIKUPATA CHANNEL ZOZOTE HADI LEO. NILIRUDI TAREHE 04/12/2018 KUULIZIA WAKANIAMBIA HAWAKUMBUKI. BAHATI MBAYA RISITI YANGU YA TRA NILIYOPEWA IMEFUTIKA. NAANZA KUPATA WASIWASI NA UTENDAJI WA STARTIMES. MENEJA ALINIAMBIA NIWAACHIE NAMBA ZANGU ZA SIMU LAKINI INAWEZEKANA WAMEAMUA KUNIPUUZA. 0714 017 377

Unknown said...

Nenda TCRA....

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita