Call / WhatsApp +255673378129

Nov 1, 2015

VIFURUSHI NA CHANEL ZA STARTIMES



Ni moja kati ya makampuni ambayo yanamiliki ving'amuzi aina mbili tofauti kimasafa,nikiwa na maana ya kuwa kuna aina mbili ya Decoder za startimes:
  • StarTimes ya Antenna
  • StarTime ya Dish
Kwa kukurahisishia startimes wakati wanaanza hapa nchini walianza na mfumo wa kutumia Antenna tu,mfumo huu ukawa na lawama nyingi sana katika swala zima la kukatakata kwa picha wakaja kuboresha kwa kuleta na mfumo wa Dish ingawaje hata ule mfumo wa Antenna nao kwa sasa upo vizuri umeboreshwa!

Hivi ndivyo vifurushi vya StarTime:-

KWA KING'AMUZI CHA DISH

1- KIFURUSHI CHA NYOTA
Ina channels 30+ bora!
Bei yake ni Tsh 11,000 Kwa mwezi
Tsh 4,000 Kwa wiki
Tsh 1,100 Kwa siku
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2- KIFURUSHI CHA SMART
Ina channels 60+ bora!
Bei yake ni Tsh 21,000 Kwa mwezi
Tsh 8,000 Kwa wiki
Tsh 2,100 Kwa siku
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3-STARTIMES SPORT PLUS ( Cha ziada )
Ina channels 4+ bora!
Bei yake ni Tsh 14,000
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!

4- KIFURUSHI CHA SUPER
Ina channels 100+ bora!
Bei yake ni Tsh 36,000 Kwa mwezi
Tsh 12,000 Kwa wiki
Tsh 3,600 Kwa siku
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!

5- STARTIMES CHINESE PACKAGE
Inajumuisha kifurushi cha Smart
Ina channels 84+ bora!
Bei ni Tsh 43000
Bofya hapa kujua channels zilizopo katika kifurushi hiki!

6-STARTIMES INDIAN PACKAGE 
Sasa inapatikana kama kifurushi cha ziada
Ina channels 8+ bora!
Bei ni Tsh 18000
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!

KWA KING'AMUZI CHA ANTENNA

1-  KIFURUSHI CHA NYOTA
Ina channels 30+ bora!
Bei yake ni Tsh 9,000 Kwa mwezi
Tsh 3,000 Kwa wiki
Tsh 900 Kwa wiki
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2-  KIFURUSHI CHA MAMBO
Ina channels 60+ bora!
Bei yake ni Tsh 14,000 Kwa mwezi
Tsh 6,000 Kwa wiki
Tsh 1,500 Kwa siku
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3-  KIFURUSHI CHA UHURU
Ina channels 80+ bora!
Bei yake ni Tsh 20,000 Kwa mwezi
Tsh 7,000 Kwa wiki
Tsh 2,500 Kwa siku
Bofya hapa kujua channels zilizopo kwenye kifurushi hiki!




Kwa Maelezo zaidi
Instagram @mustaphamadish
Call / Whatsapp / Text 
+255 658 046 655
Share:

79 Unasemaje..??:

Anonymous said...

hAPA Umefanya jambo la msingi mkuu shukran

Ev. Elimeleck Ndashikiwe said...

Vipi kuhusu channels za michuano ya kimataifa tofauti na ligi? Mtujuze pia3

Anonymous said...

Na vipi kuhusu local channels...nazo zinalipiwa..??

Unknown said...

Hili janga sass mimi nataka kununua ila hata cjui nanunua na code zipi kwa airtel money

Anonymous said...


Ninapenda kujua channel ya Emmanuel TV ipo kwa Package gani

Sithole Edwin Mwakatage said...

Nililipa 10000/- katikati ya Mwezi ajabu toka jana imekata!! Nini shida nitalazimika kulipa tena! Manake sasa hivi naona TBC1 na TV1 tu.

Anonymous said...

Mbona nilikuwa nakupgia siwapati

Unknown said...

Too much promise but poor reality. Nimelipa 10,000 kwa mpesa nataka kuangalia citizens TV bado sipati.

Anonymous said...

Achen utapeli tunalipia inakata kabla ya mwezi halafu zinakata hadi zile local channels ambazo inatakiwa tupate bure

Anonymous said...

mbna nmelipia elfu 10000 ila sipati tbc ,startv ,chanel 10 na clouds

Unknown said...

Hawa jamaa waongo sijapata ona aisehh... Yani nimelipia kakini naona tbc tu utazani mi nimekuwa Nape

Unknown said...

jinsi ya kujiunga kifurushi kwa tgo pesa tafadhali

Unknown said...

naomba msaada jinsi ya kujiunga na kifurushi kwa tigopesa tafadhali.

Unknown said...

naomba kujua bei ya king'amuzi cha azam na startimes dishkubwa.

Unknown said...

naomba kufahamu bei za decoder za azam na startimes?

Unknown said...

Mulo
Bado huduma zenu zinahitaji kuboreshwa. Kuna wakati nililipa sh 10,000 kwa njia ya M-Pesa sikupata huduma kabisa. Baada ya siku chache nikaulizia nikaambiwa zimeshatumika. Tarehe 10 nwezi huu wa Novemba nimelipa 15,000 kupitia M-Pesa, sikupata huduma na bado sijapata. Nilipokwenda Startimes Mwenge wakasema hawajaona fedha hizo. M-Pesa nao wakasema wameshazituma. Naona kuna mchezo mbaya unachezwa baina na makampuni hayo mawili. Mteja - 0756-795674.

Anonymous said...

Tafadhali naomba bei za vifurush vya antenna

Unknown said...

Decoder yangu imezingua mwezi wa kumi, jamaa kuwapigia cm wakadai niende kwa ofisi zao ili wanipe kingine bure kabs. Cha ajaabu wamenitaka niwatoe 30000 ndipo wanipe kingine.yaani wapo nyuma xana kihuduma. Radio hata channel moja hakuna.

Iddi said...

duh

Unknown said...

Awa startimes sijui wakoje instagram nawatumia mitext kibao namikoment kibao jaman boresheni huduma zenu napia channel ya colors na raj tuwekeeni

Unknown said...

Mbona channels zinapotea tuu huku. Citizen haipi

Unknown said...

Hi, mbona channels mnapoteza ovyo. Na pia mutuongeze channels za kenya kama Nation TV na K24

Unknown said...

Local package ndo kifurushi gani?

Anonymous said...

mbona sijaona NAT GEO WILD inapatikanaje?

chinoXL said...

decoder ya antenna wameweka channels nyingi kuliko decoder ya Dish,alf kwenye decoder ya Dish wame jaza channels za kiChina na wa Indi...wtf??

chinoXL said...

decoder ya antenna wameweka channels nyingi kuliko decoder ya Dish,alf kwenye decoder ya Dish wame jaza channels za kiChina na wa Indi...wtf??,SI TUNATAKA MOVIE ZA HOLLYHOOD SIO NOLLYWOOD i regreat kweli kununua hi decoder ya Dish ya star times aise..

Anonymous said...

Mbona nimelipa 6000 kwa maxmalipo naambiwa ni siku tatu wakati ilikua meexi vipi

Anonymous said...

Habar king'amuzi changu cardno 0235085061 nakilip pesa ziningia chaajabu kimelokiwa nafanyajess

Anonymous said...

Its like you read my mind! You seem to know so
much about this, like you wrote the book in it or something.
I think that you can do with a few pics to drive the message home a little bit, but other than that,
this is wonderful blog. A fantastic read.
I will definitely be back.

Anonymous said...

Everything is very open with a clear clarification of the issues.
It was definitely informative. Your site is very helpful.
Thank you for sharing!

Anonymous said...

This paragraph is truly a fastidious one it assists new internet viewers, who are
wishing in favor of blogging.

Anonymous said...

Hi, all the time i used to check weblog posts here early in the break of day, for the reason that i like to find out more and more.

Anonymous said...

What's up, all is going well here and ofcourse every
one is sharing data, that's actually fine, keep up writing.

Anonymous said...

Hello everyone, it's my first pay a quick visit at this web site, and post
is in fact fruitful for me, keep up posting such content.

Unknown said...

Nitaonaje Russia worldcup na king'amuzi cha antenna

Anonymous said...

Hi there! I realize this is sort of off-topic however I had to ask.

Does running a well-established website such as yours take a lot of work?
I'm completely new to writing a blog however I do write in my journal every day.

I'd like to start a blog so I can share my personal experience
and feelings online. Please let me know if you have any recommendations or tips for new
aspiring blog owners. Appreciate it!

Anonymous said...

I've been browsing online more than three hours today, yet I never
found any interesting article like yours. It's pretty worth enough for me.
Personally, if all webmasters and bloggers made good content as you did, the internet will be
much more useful than ever before.

Anonymous said...

I feel that is one of the such a lot significant info for
me. And i'm satisfied reading your article. However want to commentary on some normal things,
The site taste is great, the articles is actually great : D.
Just right task, cheers

Unknown said...

Nimelipa 7,000 king'amuzi cha antena ila sipati picha almost 2 hrs nini shida

Anonymous said...

sorry nahitaji kujua st novela E plus ipo kwenye package gan maana ciio au kmetumia jina lingne hapo??

Anonymous said...

Awesome blog! Is your theme custom made or did you download it
from somewhere? A design like yours with a few simple
tweeks would really make my blog jump out. Please let me know
where you got your design. Cheers

Unknown said...

Nimelipia kifurushi cha mambo ni channel zipi zinaonyesha world cup

Anonymous said...

Great work! That is the kind of info that are supposed to be shared
across the net. Disgrace on Google for no longer positioning this
submit upper! Come on over and visit my website .

Thank you =)

Anonymous said...

An outstanding share! I've just forwarded this
onto a co-worker who has been doing a little homework on this.
And he actually ordered me dinner due to the fact that I found it
for him... lol. So let me reword this.... Thanks for the meal!!
But yeah, thanx for spending time to talk about this matter
here on your web page.

Anonymous said...

I've read a few excellent stuff here. Certainly price bookmarking
for revisiting. I surprise how so much attempt you set to make this type of wonderful informative website.

Anonymous said...

Heya just wanted to give you a quick heads up and let you know a few
of the pictures aren't loading properly. I'm not
sure why but I think its a linking issue. I've tried it in two
different browsers and both show the same outcome.

Anonymous said...

Excellent goods from you, man. I've understand your stuff previous to and you are just extremely magnificent.
I actually like what you have acquired here, certainly like what you
are saying and the way in which you say it. You make it entertaining and
you still care for to keep it smart. I can not wait to read far
more from you. This is really a terrific site.

Anonymous said...

Hi, i think that i saw you visited my blog thus i came to go back the want?.I am
trying to in finding issues to improve my site!I suppose its adequate
to make use of a few of your ideas!!

Anonymous said...

Very good article. I absolutely appreciate this website.

Thanks!

Anonymous said...

Awesome blog! Do you have any recommendations for aspiring writers?
I'm planning to start my own blog soon but I'm a little lost on everything.
Would you suggest starting with a free platform like
Wordpress or go for a paid option? There are so many choices out there that I'm totally confused ..
Any recommendations? Cheers!

Anonymous said...

We're a group of volunteers and opening a new scheme in our community.
Your website provided us with valuable info to work on. You've performed an impressive
task and our entire group will be grateful to you.

Anonymous said...

This web site truly has all the information I needed concerning this subject and didn't know who to ask.

Anonymous said...

Hello, just wanted to say, I enjoyed this post. It was practical.

Keep on posting!

Unknown said...

Nakosa channel za bure baada ya kifurushi kuisha tatizo nini?

Anonymous said...

Simply want to say your article is as astonishing. The clarity in your post
is simply nice and i can assume you are an expert on this
subject. Well with your permission allow me to grab your
RSS feed to keep updated with forthcoming post. Thanks a million and please continue the enjoyable work.

Unknown said...

Habari startimes naomba msaada mm natumia king'amuzi cha antenna sasa naona Leo st novela e haina sauti nafanyaje na hata nikienda setting ya sauti nikiweka stereo , left au right bado haionyeshi?

Unknown said...

Kuhama mambo kwenda nyota,inakuwaje??

Unknown said...

naomba kujua kama radio za kitanzania zinapatikana kwenye kisimbusi cha startimes

Unknown said...

Startimes king'amuzi cha antenna mbona sipati channel ya clouds na nimelipia msaada jamani

Anonymous said...

Hurrah! Finally I got a blog from where I be able to in fact get valuable facts regarding my study and
knowledge.

Unknown said...

NIPO MWANZA MWENYE KING'AMUZI CHA STARTIMES NAKIITAJI ANIUZIE

Anonymous said...

Nikwanini unalipia chaneli mwezi hauishi zinakata

Anonymous said...

If some one wants to be updated with newest technologies then he must
be go to see this web site and be up to date every day.

Unknown said...

Whats wrong nimenunua kifurushi cha mwezi mwezi haujaisha tayari kimekata na hamna hata channel moja ya free

Unknown said...

Ligi gani zinaonreshwa

Unknown said...

I am feedable with star time already paid month subscription fee but before month end service disconnected!

Unknown said...

Siwaelew kabisa why channel zinakata kabla ya mwezi tatizo nn au ndo utaratibu mpya? Naitaji maelezo juu yahili plz

Unknown said...

Thanks startime, but just look the package is so highly just drop it please if possible

Unknown said...

Wanazingua startime na silipiii tena! Ni heri niliuze kwa wengine

Anonymous said...

Tarehe 29/03/2019 nimelipia elfu18 na leo imekata!! Why?

Unknown said...

Mbna channel za bollywood haioneshi mmetoa kabisa why

Anonymous said...

Thanks for sharing your info. I truly appreciate your efforts and I will be waiting for your next write ups thank you once again.

Anonymous said...

I am in fact happy to glance at this website posts which carries tons of useful facts, thanks for providing these statistics.

Unknown said...

Nililipia 11000/= ni Mwenzi sasa inapatikana swahili tu je tatizo ni nini?

Horera said...

Nataka kujua bei ya vifurushi kwa mwaka huu 2019 na idadi ya channel kwa kila package

Horera said...

Naomba kujua vifurushi vipya vya star Times bei, idadi na aina za channel kwa kila package

Unknown said...

Je unaweza kutumia kulipia kingamuzi na kutumia simu yako ya mkonon kutazama TV channels yaan kama TV yenyewe bila ya kuwa na decoder wala dish?

Unknown said...

Nime lipia Jana hata picha hakioneshi shida nini

Unknown said...

Clouds nayo hakuna tena Star times

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita