Call / WhatsApp +255673378129

Dec 6, 2015

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI DSTV


Wateja wengi wa DStv wanakumbwa na kadhia hii,kutokujua utaratibu kwa kutaka kuhama kutoka kifurushi kimoja kwenda kingine hivyo kwa post hii utaelewa vema jinsi ya kuhama kifurushi!
Kwanza vijue vifurushi vya Dstv kwa Kubofya Hapa
Ikitokea umelipia kifurushi cha DStv Bomba  Tsh 23,500 na mwezi umeshaisha unataka kulipia kifurushi cha DStv Compact  Tsh 84,500 unaweza kufanya hivyo kwa kufata utaratibi huu:-

1 - Washa Decoder yako,kisha weka channel namba 200.
2 - Lipia Tsh 84,500 
3 - Piga nambari 0768988800 ( Atakayepokea mwambie kuwa unahitaji kubadili kifurushi toka DStv Bomba kwenda DStv Compact nae atafanya hivyo na itapokea ndani ya dk 5 tu )

Unaweza kubadili kifurushi kwa kufata utaratibu huu kwa kifurushi chochote kile na unaweza kufanya zoezi hili hata kabla kifurushi chako hakijaisha!

+255789476655
Share:

11 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Ikiwa nataka kuhama kifurushi kabla ya ambacho nimelipia nafanyaje?
Nipo hiki cha 51000 nataka kuhamia cha 84500 na toka nilipie hiki yapita kama wiki hivi msaada tafadhali mkuu

Anonymous said...

Nimelipia hivi karibun nataka kuhamia cha 84500 toka 23500 ipo vipi?

Unknown said...

Santeeeeeeh xn

kifuatz said...

msaada kaka nina dstv decoder nimepewa kina kifulushi cha dstv primium cha 175205 je niatawezaje kuhama kwenda dstv bomba cha tshs 23000? na datas zake sina mwenyewe yupo nje?

Anonymous said...

msaada kaka nina dstv decoder nimepewa kina kifulushi cha dstv primium cha 175205 je niatawezaje kuhama kwenda dstv bomba cha tshs 23000? na datas zake sina mwenyewe yupo nje?

Unknown said...

nataka kuangalia ruyal rubber (mieleka) naona iko s11 nalipia kifurushu cha aina gan?
.

Unknown said...

nataka kuangalia ruyal rubber (mieleka) naona iko s11 nalipia kifurushu cha aina gan?
.

Marahaba said...

Kwani hakuna utaratibu wa kuhama bila kupiga simu ya customer care?nakumbuka ving'amuzi vingine hatupigi simu

Unknown said...

Nawezaje kuhama kutoka kifurushi cha 69000 mpaka laki moja na elfu tisa? Ili niweze kuangalia uefa

John Lugakingira said...

Kwa nini mteja asihame kifurushi bila kupiga simu

Unknown said...

Jins ya kuangalia salio kwenye kingamuz unabonyeza *150 ndo nimeishia apo cjui tena

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita