Call / WhatsApp +255673378129

Mar 27, 2015

VIFURUSHI VYA AZAM TV | AZAM TV PACKAGES


Awali hakukuwa na mfumo huu wa vifurushi ila kutokana na uendeshaji na kutafuta maboresho imepelekea kuanza mfumo huu wa vifurushi,katika kumbukumbu za wengi ndicho king'amuzi kilichokuwa quality,channels nyingi ila malipo ya mwezi ni madogo!
Hivi ndivyo vifurushi vya azam tv,idadi ya channel na bei:-

1.AZAM LITE PACKAGE
Ina channel 40+ bora
Malipo ni Tsh 10,000/= kwa mwezi
Malipo ni Tsh 3,000/= kwa wiki
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2.AZAM PURE PACKAGE
Ina channel 60+ bora
Malipo ni Tsh 18,000/=
Malipo ni Tsh 7,000/= kwa wiki
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3.AZAM PLUS PACKAGE
Ina channel 90+
Malipo ni Tsh 23,000/=
Bofya Hapa kujua channel zilizopo katika kifurushi hiki!

4.AZAM PLAY PACKAGE
Ina channel 105+
Malipo ni Tsh 28,000/=

MSAADA - KIUFUNDI | KUNUNUA | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | 
+255 789 476 655
Share:

Mar 20, 2015

BEI ZA VING'AMUZI NJE YA DAR ES SALAAM

Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kuhusu bei za ving'amuzi katika mikoa yote ukiacha dar es salaam ijapokuwa baadhi ya wauzaji wa dar es salaam hili linawahusu!
Hapa nazungumzia ving'amuzi vyote vilivyopo tanzania,kampuni husika wanatoa bei elekezi ambapo bei hiyo inapaswa kuuzwa kwa mikoa yote tanzania bila kuongeza hata senti 5.
Unaweza ukaona ni jambo ambalo haliwezekani ila mimi najua ya kuwa inawezekana kama muuzaji ni wakala aliyeidhinishwa na kampuni hhusika.
Mfano wakala anaponunua azam tv kwa jumla anapata punguzo maalum na kuna utaratibu wa kurudishiwa pesa ya usafiri kwa kuzingatia mkoa gani anatoka,pia ving'amuzi vyengine wanautaratibu wao unaofafana na huo ili tu kufanikisha mawakala wote katika mikoa yote waweze kuuza bei elekezi na si vinginevyo!
Kinachotokea kutokujulikana kwa mawakala walioidhinishwa kwa baadhi ya mikoa kumesababisha wafanyabiashara kujiamulia kununua tu ving'amuzi na kuweka kwenye maduka yao na kujiuzia bei wanazotaka wao huku wakiwa hawajui vema kuhusu hivyo ving'amuzi,hii imepelekea malalamiko kuwa mengi kwa mteja kuchelewa kufunguliwa ili aweze kuona ama chochote kikitokea cha kiufundi aliyemuuzia anashindwa kumpa msaada unaostahiki kwa wakati.
Kwa maoni ushauri:+255789476655
Share:

Mar 1, 2015

BEI MPYA YA AZAM TV TSH 135,000/=


Hii ni kwa wateja wapya ambao wanataka kujiunga na azam tv,bei ya vifaa ni tsh 135,000/= hii namaanisha bila ufundi wala kifurushi!
Ili kufurahia huduma za azam tv inakupasa kufata utaratibu huu:-
VIFAA tsh 135,000/=
Inajumuisha Dish ikiwa na LNB,,Decoder ikiwa na smart card,cable mt20.
VIFURUSHI-
Azam pure tsh 12,000/= ch 25+
Azam plus tsh 20,000/= ch 50+
Azam play tsh 25,000/= zaidi ya ch 80
UFUNDI-
Ili ufungiwe inakupasa kulipa tsh 30,000/=
Hapa ndipo pana mvutano kidogo hapa,wateja wengi wanaona tsh 30,000/= ni nyingi na matokeo yake wengiwao wanaikwepa hii kwa kutafuta mafundi wao na kuwalipa chini ya 30,000 ama wanajikuta wanataka kufunga wenyewe matokeo yake wanaishia njiani kisha wanarudi tena kwetu!
Vipo vitu vya kujaribu lakini kitu kama ukijui tuachie tunaokijua,hii ina maanisha mgawanyiko wa kazi,madhara ya kuleta ufundi kufunga dish ikiwa hujui unaweza ukaua LNB ama ukaua Decoder.
1.Faida za kulipa tsh 30,000/= tukufungie sisi-
2.Ikiharibika ndani ya miezi mitatu repair bure.
Chochote kikitokea tunakusaidia kwa 100% kwa wakati.

Ukitaka kujua channels zilizopo kwenye kila kifurushi Bofya Hapa 

HUDUMA ZA AZAM TV | MSAADA KIUFUNDI | +255789476655
Share:

BEI MPYA YA DSTV TSH 99,000/= BILA UFUNDI


Baada ya ile offer ya tsh 99,000/=
Hii inajumuisha vifaa bila ufundi!
Kisha unachagua kifurushi ukipendacho kati ya hivi:-

KWA MAELEZO ZAIDI +255789476655

TUMEBOBEA KUFUNGA KWENYE:
HOTEL | APARTMENT | OFFICE
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita