Call / WhatsApp +255673378129

Jul 22, 2015

HOTEL TV SYSTEM INSTALLATION

TV INSTALLATION
Mapendekezo ni ya mteja kwa maana mmiliki wa hotel/sehemu yeyote husika 
kwamba tv zikae ukutani ama mezani,kazi yetu ni kutoa ushauri kwa jinsi mazingira yalivyo,je muonekano mzuri ni upi tv kukaa mezani ama ukutani? ingawaje mara nyingi tv kukaa ukutani ndo huwa zinapendeza na salama pia.

CHANNELS INSTALLATION
Tunatoa nafasi kwa muhusika kusema channel anazotaka ambazo angependa kuziona zinapatikana,pia tunatoa ushauri kwa channel atakazo kama zimejitosheleza ama kuna umuhimu wa kupunguza ama kuongeza kutokana na uzoefu tulionao tunajua mapenzi ya wateja wengi wa hotel/office n.k. kwa channel zinazopendwa sana!
- Control room
Hapa tunahifadhi channel zote tunazohitaji,kisha tunazisambaza kwenye tv zote zilizopo kwa ubora mmoja nikiwa na maana quality ya picha ni moja kwa tv zote hata zikiwa 100.

- Remote Control
Kwa kila tv iliyopo kwa kila chumba itajitegemea kubadili channel kwa kupitia Remote ya tv husika bila kumbugudhi anayeangalia tv nyengine.

PROJECTOR INSTALLATION
Kama ilikuwa hujui Projector inatengenezwa kwa masaa maalum,nikiwa na maana ya kuwa mathalani projector imetengezwa  itumike kwa masaa matano ( 5 ) yakitimia masaa matano hakuna njia ya kurenew yale masaa kwa lugha nyepesi itakulazimu ununue projector nyengine.Tupo kwa ajili ya kutoa ushauri na kukufungia pia popote panapostahili.

REPAILING
Inapotokea unakutana na ujumbe mmojawapo kati ya hii ifuatayo jua ya kuwa fundi anahitajika,inaweza kuwa kiushauri ama kiufundi zaidi kwa fundi kufika eneo husika.Ila kwa ushauri wa awali angalia cable yako ipo sawa? angalia je connector yako imekaa sawa? kwa upande wa Receiver/Decoder/tv ama kutoka kwenye Dish ama chanzo chochote cha channel!
- Bad Signal
- Signal Weak
- No Signal
- No Channel
- No Program
- No Service
- Searching for Signal

BAADHI YA KAZI ZA HOTEL TULIZOFANYA:-
- Bahari Lodge
- JB Belmont
- Geraffe View Hotel
- Transit Motel

UZOEFU:-
Yapata miaka nane ( 8 ) Mustapha MaDish nimejikita ukanda huu,nafunga Dish Antenna aina zote kwa channel za bure na kulipia,nadeal na receiver/decoder aina zote,nina team kazi yenye vijana wenye uzoefu unaozidi miaka miwili kwenye taaluma ya ufundi.
Nimefundisha vijana wapatao 17 ambao kwa sasa wanaendesha maisha yao kupitia taaluma hii wengine wakiwa wameajiriwa Multichoice Tanzania ( DStv ) na wengine makampuni mengine.
Najua kiundani kuhusu ving'amuzi vyote vilivyopo Tanzania.


UNA SWALI..?
UNAHITAJI HUDUMA..?
MSAADA ZAIDI..!
PIGA SIMU +255 784378129

Share:

Jul 21, 2015

MBUYU TWITE | AZAM TV & DSTV


Baraka za mikono salama,kazi nzuri kwa wengine imefanya nifike kwa huyu jamaa tegemezi la timu ya young African Mbuyu Twite,tumefunga DSTV na AZAM TV pia!


+255789476655
Share:

Jul 18, 2015

UPO FACEBOOK !!!???



Je blog yetu imekusaidia kwa kiasi fulani,kwa kukupatia maelezo kwa wakati na kwa kina kuhusu ving'amuzi bila kuchagua ama je blog yetu imekusaidia kukuwezesha kupata huduma ya kununua na kufungiwa king'amuzi kwa wakati? Ama imekusaidia kupata mafundi wa kukufungia king'amuzi chako kwa ubora stahiki!
Una maoni yeyote ili tu tuweze kufanya vizuri zaidi ama una la kutukosoa pale tulipoteleza!?
Tupo hapa kupokea yote bila kubagua lolote kwetu ni msaada wa kutufikisha tunapofikiri!
Swali langu je upo FACEBOOK !? kama ndivyo Bofaya Hapa kisha like page yetu ili uweze kuwa miongoni mwa wadau wetu watakaopata chochote kipya kuhusu king'amuzi kwa wakati ama pia waweza kutuandikia chochote na tukakifanyia kazi kwa wakati hata kama haitakuwa umepiga simu.

Share:

Jul 15, 2015

KING'AMUZI KITAKACHOONYESHA KOMBE LA KAGAME 2015

Ni kiu ya wapenzi wengi na maswali yakiwa yanazidi kila kukicha ya kuwa ni king'amuzi gani na kifurushi gani kitaonyesha CECAFA 2015 kombe la Kagame.
Wala nisikupotezee muda jibu ni DStv.
Kama utalipia kifurushi cha Compact Plus utaweza kuona hizi mechi kwa raha bila kukosa hata moja ikiwa live bila chenga!
Na hii ndio ratiba ya mechi:-

Date:18-Jul-15
APR vs Shandy
13:30
SS9 / Select 2

Date:18-Jul-15
Yanga vs Gor Mahia
15:55
SS9 / Select 2

Date:19-Jul-15
Adam City vs Malakia
13:30
SS9 / Select 2

Date:19-Jul-15
Azam FC vs KCCA
15:55
SS9 / Select 2

Date:20-Jul-15
Telecom vs Khartoum-N
13:30
SS9E / Select

Date:20-Jul-15
Gor Mahia vs KMKM
15:55
SS9E / Select

Date:21-Jul-15
Shandy vs LLB AFC
13:30
SS9E / Select

Date:21-Jul-15
Hegaan FC vs APR
15:55
SS9E / Select

Date:22-Jul-15
KCCA vs Adam City
13:30
SS9E / Select

Date:22-Jul-15
Telecom vs Yanga
15:55
SS9E / Select

Date:23-Jul-15
Hegaan FC vs Shandy
13:30
SS9E / Select

Date:23-Jul-15
APR vs LLB FC
15:55
SS9E / Select

Date:24-Jul-15
Khartoum-N vs Gor Mahia
13:30
SS9E / Select

Date:24-Jul-15
KMKM vs Yanga
15:55
SS9E / Select

Date:25-Jul-15
KCCA vs Malakia
13:30
SS9 / Select 2

Date:25-Jul-15
Adam City vs Azam
15:55
SS9E / Select 2

Date 26-Jul-15
Gor Mahia vs Telecom
13:30
SS9E / Select 2

Date 26-Jul-15
Yanga vs Khatoum-N
15:55
SS9E / Select 2

Date 28-Jul-15
Q/Final 1 (B1 vs A3)
13:30
SS9E / Select

Date 28-Jul-15
Q/Final 2 (A1 vs Best Qualifier)
15:55
SS9E / Select

29-Jul-15
Q/Final 3 B2 vs C2
13:30
SS9E / Select

29-Jul-15
Q/Final 4 C1 vs A2
15:55
SS9E / Select

31-Jul-15
S/Final 1 (w-qf3 vs w-qf4)
13:30
SS9E / Select

31-Jul-15
S/Final 2 (w-qf1 vs w-qf2)
15:55
SS9E / Select

02-Aug-15
3rd and 4th Play-off
13:30
SS9E / Select

02-Aug-15
Final:
15:55
SS9E / Select

Mechi zote zitaonyeshwa live!

MSAADA +255789476655
ZINGATIA:muda wa kupiga simu ni saa 08:00 asubuhi - saa 20:00 usiku.
Share:

Jul 1, 2015

DSTV IMESHUKA TSH 79,000= BILA UFUNDI!


Kwa wateja wapya hii inawahusu sana,muda ambao mamlaka ya mapato tanzania imepandisha bei ya kodi kwenye $,jambo lililopelekea pia kupanda kwa gharama za malipo ya mwezi ya vifushi vya ving'amuzi vyote.
Kwa kulizingatia hilo Multichoice Tanzania imeonelea ipunguze gharama za kununua king'amuzi,kwa tsh 79,000 tu unapata Vifaa vyote ikiwa kama Dish,Decoder,cable,n.k. bei hii inakuwa haina ufundi wala kifurushi.
Ili ufungiwe itakulazimu kulipia tsh 30,000,pesa hiyo licha ya kufungiwa pia itakulinda kwa muda wa miezi mitatu kama litatokea lolote la kiufundi,fundi atakuja kwako kuangalia tatizo bila malipo yeyote.
Baada ya hapo unachagua vifurushi kati ya vifuatavyo kisha unalipia ili uweze kupata channel zilizo bora kabisa!

1-DSTV BOMBA PACKAGE
Ina channel 65+ bora
Bei mpya ni Tsh 19,950
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2-DSTV FAMILY PACKAGE
Ina channel 70+ bora
Bei mpya ni Tsh 42,900
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3-DSTV COMPACT PACKAGE
Ina channel 85+ bora
Bei mpya ni Tsh 82,250
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

4-DSTV COMPACT PLUS PACKAGE
Ina channel 90+ bora
Bei mpya ni Tsh 122,500
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

5-DSTV PREMIUM PACKAGE
Ina channel 120+ bora
Bei mpya ni Tsh 184,000
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

KAMA UNA TATIZO LA KIUFUNDI AMA HUDUMA KWA WATEJA Bofya hapa

ZINGATIA:Muda wa kupiga simu ni saa 08:00 asubuhi - 20:00 usiku.

PIGA SIMU +255789476655 | mustaphamadish@gmail.com


Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita