Call / WhatsApp +255673378129

Aug 31, 2015

SPORT PLUS | TSH 14,000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha ziada cha Sport plus:-
Kuna channel 4!



SPORT ARENA
SPORT PREMIUM
SPORT LIFE
WORLD FOOTBALL


MSAADA KIUFUNDI |USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU STARTIMES | +255789476655
Share:

Aug 24, 2015

STARTIMES CHANNELS | KIFURUSHI CHA SUPER TSH 36,000

Malipo: Kwa mwezi Tsh 36,000
Kwa wiki Tsh 12,000
Kwa siku Tsh 3,600
Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha Super:-
Kuna zaidi ya channel 95!



Filamu na Tamthilia
ST Zone
ST Sino Drama
ST One
St Yoruba
AMC Series
AMC Movies
ST Africa 2
ST Novela E1
St Novela E Plus
St Nollywood Plus
ST Series E1
ST Movies 1
St Movies Plus
ST Gold
ST Bollywood Africa
ST Bollywood
Z Cinema
FOX Life
FOX
Star Life
Star Gold
E. Stars
Mambo Tv

Burudani
ST Kung fu
St Rise
St Sino Drama
St Africa
Glow Tv
Colors
Magic 1 HD
E.tv
Startimes Real Time

Burudani za Kiafrika
 Citizen tv
 St Dadin Kowa
TBC 2
NTV Uga.
NTA Ke.
NBS
Silverbird
Sanyuka Tv
Orisun
Farin Wata
K24
Bukedde 2
KTN
Ebony Life
Wap Tv
ST Swahili

Michezo
ST Sports Arena
ST Sports Focus
FOX Sports
FOX Sports 2
FOX Sports Life
ST Sports Premium HD
ST World Football HD
Eurosports News
ESPN
ESPN 2
Fuel Tv

Habari
CGTN
BBC World News
Al jazeera
France 24
NTA News 24
CGN F
Telesur Africa
CCTV 4
Bloomberg Tv
TVC News
CNC World
MSNBC
FOX News


Makala
 Safari tv
Animaux
CGTN Documentary
Nat Geo Wild
Viasat History
Nat Geo Channel
Discovery Family
Discovery Science
Viasat Explore
ID
Love Nature
Smith Sonia

Watoto
Smile of a child
Mindset learn
Nickelodeon
JimJam
Baby Tv
Bloomberg Tv
St Kids
Da Vinci

Chaneli za Nyumbani
 TBC 1
Channel Ten
Safari Tv
Wasafi Tv
Clouds Tv
EATv
ITV
STAR TV
TV E

Dini
Tumaini Tv
Emanuel Tv
ST Gospel
Gospel Music Tv
Dove Tv
Iqraa Tv
Upendo Tv
EWTN
Madani Channel
Salam Tv

Muziki
ST SA Music
Trace Mziki
Clouds Tv
Nigezie
St Naija
Wasafi Tv
ST Soul
Classica

Staili za Maisha
Fine Living
Fashion One
E! Eng.
Real - Time

ZINGATIA:Washa Kisimbuzi chako, kisha ndipo ufanye malipo.
Instagram natumia @mustaphamadish
MSAADA KIUFUNDI |USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU STARTIMES 
Call / Whatsapp +255789476655
 
Share:

Aug 17, 2015

STARTIMES CHINESE PACKAGE | KIFURUSHI CHA WACHINA | TSH 43000

  Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha Chinese:-
Kuna zaidi ya channel 84 zikijumuisha na channel zote zilizopo kwenye kifurushi cha Smart!
 
 
samahani post hii haijakamilika..
itakamilika hivi punde....
 
 
 
 
KWA HUDUMA |USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU STARTIMES | +255789476655
Share:

Aug 13, 2015

KIFURUSHI CHA AZAM SPORT | AZAM SPORTS PACKAGE | TSH 15,000


Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam sports HD:-
Kuna jumla ya channel 4 kwa sasa 
  1. Azam sports HD
  2. Liverpool tv
  3. Real Madrid tv
  4. Manchester tv 

Share:

Aug 12, 2015

AINA YA DECODER ZA CONTINENTAL





MODEL TYPE: HIGH DEFINITION H 264 T2 SET TOP BOX
MODEL NUMBER : TT2-5173
PRICE: 95,000/=
ACCESSORIES: FREE INDOOR ANTENNA

FEATURES:

  • MPEG2/MPEG4/H.264 High Definition resolution
  • Fully DVB –T2/T/C compliant
  • Record live TV to USB 2.0 through flash disk or external hard disk
  • Pause/resume live TV ( timeshift)
  • Instant recording
  • Scheduled recording via EPG
  • 7 Day electronic program guide ( EPG)
  • HDMI/Component/Composite Outputs
  • S/PDIF Output
  • Aspect ratio adjustment 4:3/16:9
  • Subtitle and teletext
  • Parental lock function
  • Create favorite channels list
  • Upgrade software by air.



MODEL TYPE: DVB ( DIGITAL VIDEO BROADCASTING )
MODEL NUMBER: CDM O3
PRICE: 105,000/= WITHOUT DISH
150,000/= WITH 60CM DISH AND 155,000/= WITH 75CM DISH

FEATURES:

  • SD MPEG -/HD H.264 & fully DVB – T compliant
  • Automatic PAL/NTSC conversion
  • 400 channels TV and Radio programmable
  • 4 different favorite groups selection
  • On screen display with multi-language
  • Fully support to 7 days Electronic Program Guide ( EPG)
  • PICTURE IN GRAPHICS ( PIG) support
  • 256 colors On screen display
  • Channel search in automatic and manual search
  • Various channel editing functions ( favorite, move, lock, rename and sort)
  • Parental control for channels
  • Ease to use Menu system
  • Software upgrades though USB port
  • Time set by GMT offset automatic and manual, summer time support
  • Automatic turn on/off by timer setting ( multiple options)
  • Subtitle support DVB EN300743 and EBU
  • Teletext support DVB ETS300472 by VBI and OSD
  • Automatic save for last channel
  • Support logic channel number ( LCN)
  • Teris, Othello, Sudoku
  • Support FAT16/FAT32/FAT12,NTFS ( Option)
  • MP3/JPEG/BMP/OGG files
  • Default 2 hours, user can setting the end time (Support subtitle), record scramble program and descramble program.
  • Lock/Delete/Rename, Preview playback, Browse record files information
  • Play/Pause/Stop/Step
  • Fast forward/fast backward 2/4/8/16/24,
  • Slow forward/slow backward 1/2,1/4,1/8
  • Bookmark set/Bookmark jump





MODEL TYPE: CDM-03 HYBRID DTT
PRICE: TZS. 105,000

Specifications:

  • High Definition.
  • USB PVR function.
  • EPG.
  • Digital Display.
  • HDMI output / RCA output.
  • Menu Functions.
  • Standard accessories: Remote control, RCA cable, Manual.
  • Remote control batteries, Indoor antenna*
  • One year warranty.
* S2 works with KU Band dish antenna size 65 cm & above.






MODEL TYPE : CDM 04
PRICE : 95,000/= without dish
145,000/= with 60 cm dish
150,000/= with 75cm dish

FEATURES:

  • DVB-S/S2
  • Record Live TV to USB 2.0 External Devices
  • Pause/Resume Live TV( Time shift )
  • Instant recording
  • Record from the EPG
  • 1080p High Definition Resolution
  • 8 Day Electronic Program Guide ( EPG)
  • HDMI/Composite Outputs
  • Aspect Ratio Adjustment 4:3/16:9
  • Subtitles
  • Parental Lock
  • Create favorite channels list.
KUJUA CHANNEL ZILIZOPO bofya hapa
 
 TECHNICAL SUPPORT +255789476655
Share:

Aug 10, 2015

STARTIMES INDIAN PACKAGE | KIFURUSHI CHA KIHINDI | TSH 18000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha Nyota:-
Kuna zaidi ya channel 8!


BOLLYWOOD HD
STAR GOLD
STAR PLUS
ZOOM
TIMES NOW
ST PLUS
ZEE CINEMA
ZEE TAMIL

MSAADA KIUFUNDI |USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU STARTIMES | +255789476655
Share:

Aug 9, 2015

EPUKA USUMBUFU | ILI USIJUTE KIFURUSHI ULICHOLIPIA


KUTOKA KWANGU KUJA KWENU:
Imezoeleka hii tabia hasa kwa wateja wa DStv na Azam tv wale ambao wenzangu na mie yaani wachumi sanaa! Ambao sijajua vizuri kuwa wanajua sana thamani ya pesa zao ama ni nini!?
Ila hii nadhani uswahili pia unahusika katika hili!
WATEJA WA AZAM TV:
                         Utakuta kama hakuna mpira mtu haangaiki kulipia king'amuzi chake anangoja inapofikia either kuna mechi kubwa ama ligi inaanza ndipo anataka kulipia hii siwezi kusema si sahihi kwakuwa pengine mapenzi ya mteja ni mpira tuu na ndo maana hakuna malipo ya ziada hata kama hujalipia miezi mingapi ila wanachoanguka wengi ni kushindwa kujua wanapaswa kulipia wakati gani!?
Kama ligi ama mechi unayotaka kuangalia inaanza leo inakupasa ulipia alau siku mbili kabla ya leo ili kuondoa usumbufu kama haitakuwa imefunguka katika kufatilia ili ufunguliwe lakini wengi wenu mnachofanya kama ni mechi leo saa 8 mchana wenyewe mnalipia leo hii hii tena saa 6 mchana kwa kutegemea saa 8 mchana itakuwa imeshafunguka,matokeo yake hakuna ambacho utapata zaidi ya karaha na kujikuta unazungumza maneno yote unamaliza na kuponda huduma za azam tv kwa nguvu zote kumbe uzembe ni wako mwenyewe.
Pengine uliwahi kulipia kwa mtindo huo na ikafunguka si wakati wote itafunguka wakati mwengine system inashindwa kufanya kazi ipasavyo na muda huo simu zote zinakuwa zipo bize kutokana na idadi ya wateja wengi wanafanya ambacho wewe umefanya.
WATEJA WA DSTV:
                         Mfano wa jana tu,simu zangu zote zilikuwa bize kwakuombwa kutoa msaada wa kuwafungulia wateja wa dstv ambao wamelipia lakini hakuna wanachoona,wengine walitoa ya moyoni kuwa tayari wameshajaza wateja kwenye sehemu zao wanazoonyesha mpira lakini bado hakuna kinachoonekana matokeo yake wanalalama watapigwa watu wameshatoa pesa zao!
Hivi kama wewe ni mfanyabiashara wa kuonyesha mpira kwanini usilipie kabla ya siku ya mpira ili kuondoa usumbufu!? Hivi unajua ukiwa mbabaishaji unapoteza hao wateja wako?
Pia kama unahama kifurushi ni lazima ulipia kifurushi unachotaka then unapiga simu ili ubadilishwe hicho kifurushi unachokitaka lakini nawe unangoja siku ya mpira ndo ufanye hivyo!
ANGALIZO:
                Hakuna siku ambayo kampuni za ving'amuzi si DStv si Azam zinakuwa bize kama siku za kuanza kwa mpira,hii si kwenye simu zao hata kwenye ofisi zao na wakati mwengine hata system inaelemewa.
USHAURI WANGU KWAKO:
                                   Lipia king'amuzi chako siku mbili kabla ya mechi ama tukio unalokusudia kuangalia hii itapelekea kuondokana na usumbufu,bila kufanya hivyo utaona huduma za king'amuzi husika hazifai kumbe wewe ndiye hufai.
WhatsApp+255658046655|+255784378129

Share:

Aug 2, 2015

STARTIMES CHANNELS | KIFURUSHI CHA SMART TSH 21,000

Malipo:Kwa mwezi ni Tsh 21,000
Kwa wiki ni Tsh 8,000
Kwa siku ni Tsh 2,100
Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha Smart:-
Kuna zaidi ya channel 65!



Filamu na Tamthilia
ST Zone
ST Sino Drama
AMC Series
AMC Movies
ST Novela E1
ST Bollywood Africa
Z Cinema
FOX Life
Mambo Tv
Star Life
E Stars
St Yoruba

Burudani
ST Kung fu
St Rise
Magic 1 HD
E.tv
Startimes Real Time

Burudani za Kiafrika
St Swahili
St Dadin Kowa
TBC 2
NTv Uga.
NBS
Silverbird
Sanyuka Tv
Orisun
Farin wata
K24
Bukedde 2
KTN
NTv Ken.
 Citizen tv
 Wap Tv

Michezo
ST Sports Arena HD
ST Sports Focus
ESPN 1

Habari
CGTN
BBC World News
Al jazeera
France 24
TVC News
CNC World
Africa News
NTA News 24
CGNT F
Telesur Africa

Makala
 Safari tv
Animaux
CGTN Documentary
Nat Geo Wild
Love Nature

Watoto
St Kids
Smile of a child
Mindset learn
Nickelodeon
JimJam
Da Vinci

Habari na Burudani
 TBC
Tv 1
Clouds Tv
EATv
ITV
CHANNEL 10
STAR TV
TV E

Dini
Tumaini Tv
EWTN
Salam Tv
Emanuel Tv
ST Gospel
Gospel Music Tv
Madani Channel
Dove Tv
Iqraa Tv
Upendo Tv

Muziki
ST Music
Nigezie
St Naija
Trace Mziki
Wasafi Tv
Clouds Tv

Staili za Maisha
Fine Living
Fashion One
Face Tv
E! Eng


ZINGATIA:Washa Kisimbuzi chako, kisha ndipo ufanye malipo.
Instagram natumia @mustaphamadish
MSAADA KIUFUNDI |USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU STARTIMES 
Call / Whatsapp +255789476655
Share:

Aug 1, 2015

MAWAKALA WA AZAM TV MIKOANI


AZAM TV ARUSHA:
BENSON&COMPANY
Sokoine rd
0272548447

LEO INVESTMENT
Sokoine rd
0754278787

GADGE TRONIX
Block 1,Seth Benjamin rd
0712007170

AZAM TV BAGAMOYO:

AZAM TV BUKOBA:
MEHTA&COMPANY
Bukoba mjini,Market/Sokoni str.
0764818181

AZAM TV DODOMA:
F&N TECHNOLOGIES CO. LTD
Dodoma kuu str opp mkuu wa mkoa zamani.
0719750454

ILONGAZALA ELECTRICAL
Kongwa bus stand,Kongwa district
0787711177

AZAM TV GEITA:

AZAM TV IRINGA:

AZAM TV KAHAMA:

AZAM TV KIGOMA:

AZAM TV LINDI:

AZAM TV MBEYA:

AZAM TV MOSHI:

AZAM TV MOROGORO:

AZAM TV MTWARA:

AZAM TV MUSOMA:

AZAM TV MWANZA:

AZAM TV NJOMBE:

AZAM TV SHINYANGA:

AZAM TV SINGIDA:

AZAM TV SONGEA:

AZAM TV SUMBAWANGA:

AZAM TV TANGA:

AZAM TV ZANZIBAR:
     JUDAS
Ahmed Karama
Mlandege near Quality Supermarket
0772838353

    LUNINGA
J.L PONCET-MONTAGE
Kilimani rd,Airport rd
0777414505

MIKOA MENGINE NITAWALETA CONTACT ZAO PUNDE KWA MAELEZO ZAIDI
PIGA +255789476655

Share:

TUMERAHISISHA | THAMINI UWEPO WETU | ZINGATIA MUDA


TUMERAHISISHA..
                         Upatikanaji wa taarifa na huduma kwa ujumla kuhusu ving'amuzi vyote vilivyopo Tanzania na nje ya Tanzania,baadhi ya ving'amuzi ni;-
                          DStv,Azam tv,Zuku tv,Startimes,Digitek,Continental,Ting,n.k
Tunajua kiundani kuhusu ving'amuzi vyote,hivyo huwa tunatoa ushauri wa kina kuhusu king'amuzi gani kizuri kwa mapenzi ya channel utakazo tukizingatia ubora wa huduma na king'amuzi husika!
Ambacho tunajivunia hakuna aliyepitia kwetu akajuta kwakuwa huwa tunasimamia ukweli na ubora katika kumshauri mtu kufanya maamuzi ya kununua king'amuzi.
THAMINI UWEPO WETU..
                         Ingawaje tupo kazini ila kwa 70% tunachokifanya ni kukurahisishia wewe na ukizingatia ni mapenzi yetu kwa ukanda huu hivyo basi inakupasa uthamini uwepo wetu kama ambavyo tunathamini uwepo wenu.Wapo mnaodhani tupo kwa ajili ya kupata pesa tu lakini ukizama utajua ninachomaanisha,leo hii tuna base kubwa si Tanzania tu wala Africa,sizungumzii Africa mashariki pekee tupo na wadau mpaka state wanajua Mustapha Madish anafanya nini na team kazi yake,Napata simu toka kwa wadau toka ndani ya Dar es salaam,nje ya Dar na nje ya Tanzania pia si kila anayenipigia simu anataka kununua king'amuzi ama si kila anayetembelea blog yetu anataka king'amuzi,wapo wanaotaka kupata ushauri,wapo wanaotaka kujifunza zaidi,wapo ambao wanatoa pongezi ila pia wapo wanaotaka huduma pia,tumeshafanya kazi na wadau wakiwa nje ya Tanzania kiunganishi ikiwa hii blog.Hakuna kampuni ya king'amuzi kwa hapa Tanzania kinachofanya tunachofanya..
Kupiga simu ukiwa ulipo kuchagua king'amuzi kuja kufungiwa na malipo unafanya ukiwa hapo hapo ulipo baada ya huduma
Kupewa msaada wa awali kujisaidia mwenyewe kabla ya fundi kuja kwako kufanya kazi ili umlipe.
Kupewa service bure ndani ya miezi mitatu bila malipo yeyote baada ya kufanyiwa Installation/Repair na Mustapha MaDish

ZINGATIA MUDA..
                      Hapa kunaleta shida kidogo naomba nitilie mkazo sana,namba zote zinazoonekana kwenye blog unaweza ukapiga na ukapata msaada ama ukitaka lazima uongee na Mustapha MaDish omba kufanya hivyo na utaunganishwa nae kama ikiwa aliyepokea si Mustapha MaDish.
Piga simu kuanzia saa mbili kamili asubuhi ( 08:00 ) hadi saa mbili kamili usiku ( 20:00 ).
SMS...
        Ikiwa unahitaji msaada wa aina yeyote/huduma yeyote jitahidi usitume sms badala yake upige simu,sms iwe whatsapp ama ya kawaida.Isipokuwa kama itatokea umepiga na tukakutumia sms kama utume sms ama upige baada ya muda hapo unaweza ukajibiwa text zako izingatiwe tu si kwa wakati wote,hii inatokana na ukweli kwamba tunapokea text nyingi sana hivyo sizote tunazoweza kujibu hasa kwa wakati,ukihitaji huduma kwa wakati piga simu.
EMAIL..
        Zinapokelewa na kujibiwa pia kwa wakati hivyo unaweza kutuma bila shaka.

PIGA SIMU SASA +255714973797
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita