Call / WhatsApp +255673378129

Sep 29, 2015

CHANNEL ZA LOCAL BURE | VING'AMUZI VYOTE







Utatumia king'amuzi gani!!?? Swali la kwanza ambalo naweza kukuuliza..
Najua kwa mapenzi ya king'amuzi ulichokichagua na kukinunua ukiachilia mapenzi yako ila umehitaji kuona na Local Channel maana yake uone mambo yanayoendelea nyumbani kwako ikiwemo taarifa ya habari.
Hivi unajua kama channel hizo zinatakiwa kuwa bure hata kama hujalipia malipo ya mwezi?
Pengine huzijui channel ninazozizungumzia hapa baadhi ni hizi :-
  • ITV
  • TBC
  • CLOUDS TV
  • CHANNEL 10
  • STAR TV
  • TV 1 
Je king'amuzi unachotumia salio likiisha zinabaki channel hizo!!??

Share:

Sep 6, 2015

KIFURUSHI CHA NYOTA TSH 9,000 | TSH 11,000

Kifurushi hichi kinapatikana kwenye kisimbuzi cha Dish na Anntena, ambapo kwenye Dish ni Tsh 11,000 na kwenye Antenna ni Tsh 9,000
Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha Nyota:-
Kuna zaidi ya channel 30!

Channels za Dish:-
Filamu na Tamthilia
ST Zone
AMC Movies

Burudani
ST Kung fu
Startimes Real Time
E. Tv

Burudani za Kiafrika
St Dadin Kowa
TBC2
NTV Uga.
NBS
Silverbird
E Stars
ST Swahili

Michezo
ST Sports Focus

Habari
CGTN
TVC News
CNC World
NTA News 24
CGTN F
CCTV 4
Telesur Africa

Makala
 Safari tv
CGTN Doc.

Watoto
Smile of a child
Da Vinci
Mindset Learn

Chaneli za Nyumbani
 TBC
Clouds Tv
EATv
ITV
CHANNEL 10
STAR TV
TV E

Dini
St Gospel
Madani Channel
Tumaini Tv
Dove Tv
Iqraa
Upendo Tv

Muziki
Clouds Tv
Wasafi Tv

Chaneli za kwenye Kisimbuzi cha Antenna:-
Filamu na Tamthilia
ST Zone
ST Sino Drama

Burudani
ST Kung fu
Startimes Real Time
Wasafi tv

Burudani za Kiafrika
Citizen tv
E Stars
ST Swahili

Michezo
ST Sports Focus

Habari
CGTN

Makala
 Safari tv

Watoto
Smile of a child

Habari na Burudani
 TBC
Tv 1
Clouds Tv
EATv
TBC2
ITV
CHANNEL 10
STAR TV
TV E
Kwanza Tv

Dini
Arise and Shine
WRM
ATN
Tumaini Tv
Living Water
Upendo Tv
IBN Tv Africa
Iqraa
TBN

Chaneli za Tanzania
ST Guide
TBC 1
Tv 1
Channel 10
Star tv tz
ITV tz
EATV
Clouds Tv
Tv E
ATN
Safari Tv
Upendo Tv
Sibuka Maisha
Dar es salaam Only
Dira Tv
Arise and Shine
WRM
Tumaini Tv
Living Water
IBN Tv Afrika
Mlimani Tv
Tv Imaan
Kwanza Tv
Mwanza only
Barmedas Tv
Morogoro Only
Top Tv
Abood Tv
Iringa Only
Iringa Tv
Tanga Only
Tanga Tv
Arusha Only
ABC Tv

KUNUNUA | MAFUNDI | USHAURI NA MSAADA ZAIDI KUHUSU STARTIMES
MUDA  08:00 - 20:00
Piga | Whatsapp  +255789476655
Share:

Sep 3, 2015

TV 1 | IMEKUJA VIZURI SANA

Hii ni tv ya kitanzania iliyoanzishwa mwanzoni mwa mwaka jana,ambayo imejikita zaidi kwenye burudani nami nimekuwa nikiifatilia niseme tu ukweli ni tv 1 kweli kwa ambacho wanakifanya!
Inamilikiwa na kampuni ya sweden iitwayo ( MTG ) Modern Times Group.
Usiniambia kuwa hujawahi kuiona katika pita pita yako ya ving'amuzi.
Inapatikana Startimes na Azam tv hii ni ya bure wapendwa!

Share:

Sep 1, 2015

WAPENZI WA SOKA WAZIDI KULIA


Kwa siku kama nne hivi nimepokea simu nyingi sana zinazouliza kama kuna namna nyengine ya kuangalia mpira wa ligi za nje tofauti na dstv,sababu nikiuliza ni nini jibu jepesi sana ni kutokana na licha ya wadau kulalamika malipo ya mwezi yapo juu imeongeza tena toka leo hii tarehe moja na mbaya zaidi katika kifurushi cha Compact Plus hakuna tena kuona mpira kama ilivyo awali hii inamaanisha ili uangalie mpira ni lazima kulipia package ya Premium.
Kuhusu jibu njia gani nyengine ukiacha dstv unaweza ukaangalia mpira mimi naweza kusema hakuna ijapokuwa zipo,kwanini nasema hakuna ijapokuwa zipo,zote zilizopo hazina uhakika.
Kama ligi ya la liga unaweza ukaiona kupitia azam katika channel ya azam sport HD kwa tsh 15000 ambapo inakupa jumla ya channel 4 za michezo.
Wadau wanatamani kuona inatokea kampuni ambayo itakuwa unaonyesha mipira yote kwa bei nafuu tofauti na ilivyo sasa.
Bein Sport wapo ila baadhi ya mikoa ndio inakamata,ambapo watanzania na wapenzi wa mpira walitamani ipatikane kama ilivyo awali ilipokuwa Aljazeera.
+255789476655
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita