Call / WhatsApp +255673378129

Mar 17, 2016

AZAM TV KIFURUSHI CHAKO KIKIISHA



Nimeonelea niweke hapa ili wateja wote wa Azam tv na wale wanaotaka kujiunga kulifahamu hili..
Awali ilikuwa usipolipia malipo ya mwezi zinabaki Lacal channel kwa muda wa wiki tatu siku 21..
Lakini sasa utaratibu umebadilika,ambapo kama malipo yako ya mwezi yatakata zitabaki channel mbili tu TBC1 na XTRA tofauti na ilivyokuwa awali..
Hii imepokelewa tofauti na mategemeo ya wateja wengi ambao walidhani kadri siku zinavyozidi kwenda nipo unafuu utakuja kupatikana kama Local channel zote kuwa bure hata usipolipia muda wote!
KWAKO IMEKAAJE HII..!!??
Unajua kama kifurushi cha AZAM SPORT HD hakipo!!??
Unataka kujua bei mpya ya vifurushi na maboresho yaliyofanyika!!?? Bofya Hapa

+255 789 476 655
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita