Call / WhatsApp +255673378129

Mar 21, 2016

KIFURUSHI CHA AZAM SPORTS HD HAKIPO TENA!


Hili ni mojawapo kati ya maboresho ya kampuni ya Azam Media kupitia king'amuzi chake cha Azam tv..
Awali kulikuwa na vifurushi kama vitano hivi ambapo ni:-
  1. AZAM PURE PACKAGE tsh 12,000/=
  2. AZAM PLUS PACKAGE tsh 20,000/=
  3. AZAM PLAY PACKAGE tsh 25,000/=
  4. AZAM SPORTS HD PACKAGE tsh 15,000/=
  5. AZAM INDIAN PACKAGE tsh 16,000/=
 Kifurushi cha Azam Sports HD kwanza kikatolewa kujitegemea badala yake kikaongezwa kwenye kila kifurushi kati ya vifurushi vitatu na jambo zuri zaidi kikapunguzwa bei na kuwa tsh 3,000/= Hivyo kama Azam Pure Package badala ya kulipa tsh 12,000/= itakulazimu kulipia tsh 15,000/= ambapo utaona na kifurushi cha Azam Sports HD kwa lugha nyepesi kifurushi cha Azam Sports HD hakipo tena!
UKITAKA KUJUA BEI MPYA YA VIFURUSHI VYA AZAM Bofya Hapa

MAFUNDI +255 789 476 655
Share:

2 Unasemaje..??:

Anonymous said...

acquistare cialis prezzo cialis

Anonymous said...

Kwa mfano nilishalipia 12000 nafanyaje ili kupata kifushi cha 15000?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita