Call / WhatsApp +255673378129

Mar 18, 2016

STARTIMES KIFURUSHI CHAKO KIKIISHA

 

KUNA AINA MBILI YA VING'AMUZI:-
DISH - kinacotumia Dish
ANTENNA - kinachotumia Antenna

Malipo ya mwezi yanapoisha wengi tunajua ya kuwa Local channel zinabaki ni kweli ila sio kwa ving'amuzi vyote!
Kuna namna mbili ya walivyofanya Startimes vipo ving'amuzi ambavyo malipo ya mwezi yakiisha zinabaki local channel na vipo ving'amuzi malipo ya mwezi yakikata local zinakata na kubaki TBC1 na ya matangazo!
Utajuaje kama kipi ni kipi!?
Wakati unataka kununua king'amuzi cha Startimes iwe ya Dish/Antenna muulize anayekuuzia kuwa king'amuzi hicho ni cha aina gani cha kukata local channel ama kubaki!? Usikimbilie unafuu wa bei kwa maana unapopewa bei mbili bei ya chini ndio ambayo malipo yakikata channel hazibaki!
Ukitaka kujua vifurushi vya Startimes Bofya Hapa
Share:

3 Unasemaje..??:

Dr Byabato said...

Hallo,
mi ninacho kifurushi cha Star Times cha bei ndogo (kinachokata na kubakiza TBC1 tu). Jana usiku nimeongezea kifurushi cha Sh. 5000 kwa njia ya M-Pesa. Cha kushangaza ni kwamba zie Channel zingine hazikurudi. Nifanyeje?

Unknown said...

Ninataka DSTV BOMBA nipo Tanga nitaipataje?

Unknown said...

Ninataka DSTV BOMBA nipo Tanga nitaipataje?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita