Call / WhatsApp +255673378129

Jun 16, 2016

UNAANGALIAJE MPIRA BILA KULIPIA/MALIPO NAFUU!


Wadau/Wateja wa ving'amuzi wakubwa ni wapenzi wa mpira hii ilikuwa hata kabla Tanzania haijaingia katika makubaliano ya kati ya zile nchi zilizoachana na mfumo wa Analogue tv na kuingia katika mfumo wa Digital tv..Hii inatokana na wapenzi wa mpira kutaka kupata mpira kwa njia yeyote ile,hivyo imekuwa kama ndo biashara ikiwa ni mdau wa ving'amuzi ili ufanye mauzo mazuri ni lazima ujue namna ya kupata kuonyesha mpira hii imepelekea kina sisi kuchangamkia fulsa kwanza kutafuta njia za kupatikana kwa channels zinazoonyesha mpira bure/kwa bei nafuu kwa udi na uvumba ili kuweza kuuza kwa wahitaji ukiachilia kampuni iliyo na idhini ya kuonyesha mpira Multichoice ( DStv ) ambayo hakuna mdau yeyote wa mpira ambaye halalamikii bei za DStv hususani Packeges za Sports,hii inapelekea kila kukicha kubuniwa njia za kuibia channels za DStv!
Post hii itakamilika hivi karibuni karibu....
Share:

4 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Habari mkuu!
Pole na majukumu..naomba nichukue nafasi hii kukupongeza kwa hii blog yako kwa maana unatusaidia sana kutuchambulia mambo ya ving'amuzi kwa kina tofauti na makampuni husika wanachojali wao ni biashara tuu,Ombi langu nadhani ni wengi wanaotamani kujua ni vipi tunaweza angalia mpira kwa bei nafuu hvyo tunaomba umalizie post hii nasi tuzidi kunufaika na elimu yako!

Anonymous said...

Kaka malizia hii post tunataka mpira wa bei nafuuu ama usiolipiwa mwisho wa mwezi tubachakachuaje tutupie hayo maujuzi kaka!!

DJ MIXING KUTOKA KWA DJ STANTZ - END MIX said...

Nakusubiri kaka malizia post hii
Ligi kuu inaanza kaka

MULIKA MWIZI said...

Usiendelee. Ukifanya hivyo utakuwa unavunja sheria.

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita