Call / WhatsApp +255673378129

Jul 30, 2016

BEI MPYA YA VIFURUSHI VYA ZUKU TV TANZANIA 2016





Kifurushi cha Smart Plus kimeongezeka huku beo zikiwa pungufu kwa baadhi ya vifurushi pia,mabadiliko hayo ni kama ifatavyo:-

1-ZUKU SMART PACK
Ina channel 30 tv safi.
Channel 18 radio.
+ Channel za Tanzana.
Malipo Tsh 8,999 kwa mwezi.
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

2-SMART PLUS
Ina channel 40 tv safi.
Channel 18 radio.
+ Channel za Tanzana.
Malipo Tsh 13,000 kwa mwezi.
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

3-ZUKU CLASSIC 
Ina channel 69 tv safi.
Channel 55 radio.
+ Channel za Tanzana.
Malipo Tsh 18,000 kwa mwezi.
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

4-ZUKU PREMIUM 
Ina channel 98 tv safi.
Channel 55 radio.
+ Channel za Tanzana.
Malipo Tsh 25,000 kwa mwezi.
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

5-ZUKU ASIA PACKAGE
Ina channel 26 safi.
Malipo ni Tsh 24,000 kwa mwezi.
Bofya Hapa kujua channel zilizopo kwenye kifurushi hiki!

Kununua Zuku tv  Tsh 88,000 bila ufundi!
Ufundi ni Tsh 30,000!
Piga +255 789 476 655


Share:

4 Unasemaje..??:

Unknown said...

Punguzeni bei ya malipo

Unknown said...

Punguzeni bei za vifurushi

Unknown said...

Wahindi tupu wenzenu kihindi hatujui walau mngepunguza bei

Unknown said...

Punguzeni bei ya vifurushi

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita