Call / WhatsApp +255673378129

Oct 30, 2016

MAANDALIZI YA SIGNAL QUALITY #FundiMakini





Kitu kizuri kwenye ulimwengu wa Digital Tv hususani kwa Tanzania kinakuja.. Lengo ni kusaidia watanzania wote kwa ukaribu zaidi kuhusu ulimwengu wa Ving'amuzi.. Kuna udhaifu mkubwa katika kutoa habari,msaada,ushauri nk. kwa jamii kuhusu ulimwengu wa Digital Tv.. Hii imepelekea kuwe na taarifa zisizo rasmi na kuendelea kuongopeana kila kukicha ama taarifa zinatoka kibiashara,unashawishiwa ili ununue king'amuzi fulani.. Mustapha MaDish na Team yangu lengo letu kuu ni kuhakikisha unaujua na unaufurahia ulimwengu wa Digital Tv...
Nini kipya kinakuja endelea kufatana nami/nasi....
Tunakukaribisha uungane nasi iwe una Maoni au Ushauri
+255789476655
Share:

1 Unasemaje..??:

Unknown said...

It is a great mission and I hope it will as it seems so. All the best #nustaphamaDishi

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita