Call / WhatsApp +255673378129

Apr 2, 2017

KUTUMIA KING'AMUZI CHA AZAM TV KWA TV ZAIDI YA 1

Azam tv, decoder yake yenyewe kama yenyewe haina uwezo wa kugawa kwa tv nyengine kwa kutumia RF Cable kama ilivyo king'amuzi cha DStv, hii imepelekea watumiaji wengi wa Azam tv kushindwa kugawa kwenye tv nyengine ila hii inatokana na uelewa mdogo wa fundi husika, sasa leo tutapeana faida jinsi ya kugawa picha kutoka kwenye king'amuzi cha azam na kwenda kwenye tv nyengine kwa idadi utakayo!

Hii ni AV Cable ambayo itatoa picha toka kwenye king'muzi cha Azam tv na kupeleka moja kwa moja mpaka kwenye RF Modulator ambayo itageuza AV kuwa RF. Kutoka kwenye king'amuzi kwenda kwenye Modulator zitaingia cable 3, zenya rangi 3 na inapotoka kwenye Modulator inatoka cable 1 yenye rangi moja ambayo inajulikana kama Coaxial cable ( RF Cable )

Decoder ya Azam tv

RF Modulator



Post hii inaendelea.....!!



KWA MAELEZO ZAIDI PIGA
 +255789476655
2:00 asubuhi - saa 2:00 usiku
Share:

2 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Najipanga kisha ntawatafuta wataalamu nahitaji niwe naangalia Azam tv na kwa tvs za chumbani,ntawatafuta.

Anonymous said...

Nataka kuunga Azam tv na dstv pamoja hii inawezekana?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita