Call / WhatsApp +255673378129

May 1, 2017

OFFER YA AZAM TV 2018


Azam tv inaendeleza kufanya vizuri na sasa ina Offer kwenye malipo ya mwezi!
Bei ya kununua King'amuzi ni Tsh 135,000/= bila Ufundi wala Kifurushi
Ufundi ni Tsh 30,000/=
Vifurushi Bofya Hapa
Offer unayopata ni:
  • Kifurushi cha Tsh 15,000/= ambacho sasa kimekuwa Tsh 10,000/= AZAM LITE
  • Kwa wiki ilikuwa Tsh 5,000/= ambapo kwa sasa ni Tsh 3,000/=
Kwa maelezo zaidi piga +255789476655
Share:

8 Unasemaje..??:

Unknown said...

Hiyo Bei ni nzima au baadhi ya mikoa

Unknown said...

Nikihiitaji liciver peke yake bei gani

Unknown said...

Mbona itv clouds tv eatv hazioneshi

Unknown said...

Naomba kujua bei za vifurushi vya azam

Unknown said...

Bei ya king'amuzi kwa mwezi huu Sept 2018 ni shilling ngapi?

Unknown said...

Mnapatikana wap ? Mwanza
Na bei ni shingapi

Unknown said...

Kwa hiyo 135000 ndo bei be decoder ??

Unknown said...

Bei y saiv ni shiling ngap nakiitaji

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita