Call / WhatsApp +255673378129

Jun 22, 2017

TUNAWATAKIA SIKUKUU NJEMA NDUGU ZETU !!


Waislamu tupo ukingoni katika kukamilisha moja ya nguzo muhimu katika dini yetu kama ambavyo tumeongozwa kutekeleza..
Leo ni chungu cha 28,bado siku moja ama mbili ili tumalize mfungo na tuingie kwenye Sikukuu ya Idd...
Nichukue nafasi hii kuwatakia kila la heri katika kumalizia mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhan na kusherehekea vema sikukuu..
 Na salamu hizi zinatolewa na MADISH TECHNOLOGY kwa ujumla!
Pamoja na salamu hizi pia tunawashukuru kuendelea kuwa pamoja nasi..
Tunathamini uwepo wetu na tunafanya kila njia kukidhi matakwa yenu bila ninyi wala tusingefika hapa..Tusherehekea sikukuu kwa amani na utulivu..!!
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita