Call / WhatsApp +255673378129

Jul 20, 2017

BreakingNews toka DStv!!


Wale wapenzi wa mieleka hii imekaaje kwenu!!!!??
Supersport imeingia mkataba mpya na WWE wa kuonyesha michuano yake yote LIVE bila kukosa. Supersport itarusha WWE Flagship shows ikiwemo Raw na Smackdown, WWE specials ikiwemo WrestleMania na SummerSlam.
Msimu huu utakaonza rasmi tar 28 Agasti, mambo ni moto!
  Michuano hii itaonekana kuanzia SuperSport channels S3, S4, S9 na SS10. Ikiimaanisha kuanzia kifurushi Bomba cha sh.19,975 tu!
Kwa maelezo zaidi
+255789476655
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita