Call / WhatsApp +255673378129

Jul 1, 2017

ELECTRIC FENCE

Electric Fence kiwandani.

 Electric Fence kwenye Makazi.
Ni katika kuhakikisha sehemu yako na mali zako kiujumla zinabaki salama kwa kuweka ulinzi na mfumo wa ulinzi mmojawapo ni huu wa uzio wa umeme!
Electric fence unaweza ukafunga kwa kutumia aina tatu ya vyanzo vya umeme:-
  • Kwa kutumia Solar
  • Kwa kutumia Betry
  • Kwa kutumia umeme wa kawaida
Siku za usoni nitawafafanulia kwa kila njia na njia ipi ni nzuri zaidi ili uweze kujilinda na kulinda mali zako kiujumla!

Kwa Mahitaji ya kufungiwa Electric Fence, CCTV Cameras na TV System popote ulipo wewe kwa mkoa wowote Tanzania!
Kwa maelezo zaidi +255789476655
Share:

3 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kwa Dodoma nawapata wapi mkuu?

Anonymous said...

Kaka umeadvance sana hongera..

Unknown said...

Maelezo jinsi ya kufunga fence hatua kwa hatua

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita