Call / WhatsApp +255673378129

Jul 10, 2017

UNAWAJUA WAHENGA WA HIZI KAZI!?


Neno MUHENGA sio neno geni isipokuwa siku hizi ndio umekuwa msemo... Hapa namkumbuka mwalimu wangu wa lugha moja kati ya aliyowahi kunifundisha ni ile misemo ambayo inakuja na kupotea ingawaje sio misemo migeni.. mfano ulio hai ni hili la WAHENGA!!
Neno WAHENGA ni Msamiati maana yake ni watu wa zamani ama watu waliokuwepo zamani...
Watu hawa huwa na busara,hujua vitu vingi sana kwakuwa wamepitia mengi kwa maana hii Muhenga akikuelekeza kitu ni mara chache kwenda wrong mara nyingi huwa sahihi!!
Kwa uchache huu nina kila sababu ya kusema sisi ni wahenga kwenye ulimwengu huu wa Digital.. maana tupo toka muda ambao watu hawajalazimishwa kuingia kwenye ulimwengu wa Digital enzi ya Analogue..
Kipindi ambacho Signal finder hazipatikani kwa urahisi..
Kipindi ambacho unatafuta signal ya C band unatoa tv nje..
Kipindi ambacho unaweza kwa mwezi ukafunga Dish za C band ( Dish kubwa ) 16 na KU ( Dish ndogo ) ukafunga 2..
Muhenga wa mwisho kama ulikuwa fundi na ukafunga Gtv

UNATAKA KUHUDUMIWA NA MOJA YA WAHENGA WA DIGITAL!?
+255789476655
Share:

1 Unasemaje..??:

Unknown said...

Nimetuma ombi la kupata soft wear za ANImal Planet

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita