Call / WhatsApp +255673378129

Aug 29, 2017

DSTV YASHUSHA BEI ZAIDI | VIFURUSHI 2018


Habari njema kwa wadau wa kabumbu na wateja wote wa DStv kiujumla! Hii ni bei ilianza tarehe 1 mwezi wa 9 mwaka 2017 bei ambayo ni kama ifatavyo kwa Vifurushi vyote vya DStv:-
1.Premium kutoka 184000 mpaka 169000/= tu!
2.Compact Plus kutoka 122500/= mpaka 109000/= tu!
3.Compact kutoka 82,500/= mpaka 69,000/= tu!
4. Family kutoka 42,900/= mpaka 39,000/= tu!
5.Bomba kutoka 19,975/= mpaka 19,000/= tu!
Kwa Maelezo zaidi +255789476655
Whatsapp +255784378129
Share:

38 Unasemaje..??:

Felix Ajuna said...

Kuna haja ya kupunguza tena bei za vifurushi Hali ngum mtaani
Vibanda umiza vimeanza kufungwa

Unknown said...

Hii iko vizuri,Ila ishuke iendane na kipato cha mtanzania was kawaida.

Unknown said...

Ukilipia kifurushi cha premium mwaka mmoja ni sawa nakujenga nyumba ya vyuumba vitatu standard kuweni makini pesa ya sasa ngumu tunapenda lakini kwa bei hizo wacha tukomae na zuku

Anonymous said...

namba za simu tunapiga mpaka tunakoma hampokei hata sijui kwa nini mimi nilitaka kuuliza kifurushi cha shilingi elfu kumi na tisa nitaona kombe la dunia

Unknown said...

Je kuangalia world cup inabidi ninunue dstv ya sh ngapi ? Ya chino kabis!

Anonymous said...

Waongeze maudhui kama ligi kuu ya Tanzania. Dstv itanoga sana na tutasahau ving'amuzi vingine kabisa

Unknown said...

bei ya dstv sh ngapi?

Unknown said...

bei ya dstv sh ngapi?

Unknown said...

bei ya ving'amuzi zinatofautiana
1. Kunaking'amuzi kinaitwa HD5 au zapa set nzima ni sh. 79000 kumjumlisha na ufundi wao wa kuhaminika ni sh 20000
2. King'amuzi kinachoitwa explorer set nzima ni sh 321000 pamoja na ufundi wetu ya kuhaminika ni sh 30000. Karibu kwa maswali zaidi

Unknown said...

Dstv ina ving'amuzi 2
1. HD5 au zapa ambayo bei yake ni sh. 79000 na ufundi wetu wa kuaminika ni sh 20000 tuu
2. Explorer ni king'amuzi kingine ambacho full set ni sh. 321000 ufundi ni sh 30000. Karibu

Unknown said...

Dstv ina ving'amuzi 2
1. HD5 au zapa ambayo bei yake ni sh. 79000 na ufundi wetu wa kuaminika ni sh 20000 tuu
2. Explorer ni king'amuzi kingine ambacho full set ni sh. 321000 ufundi ni sh 30000. Karibu

Unknown said...

Tunaomba muone namna ya kuonesha ligi kuu ya bongo, na klabu bingwa Afrika kuanzia mwanzo. Kuna hatua zile za mwanzo hatuzioni kwenye klabu bingwa Afrika.

Unknown said...

Tunaomba muone uwezekano wa kuonesha ligi ya bongo, pia klabu bingwa afrika muanze kutuones

Unknown said...

Hjgg

Unknown said...

Bei yenu iko juu sana punguzeni tunapenda mpira ila so kwa bei hiyo

Unknown said...

Chanel gani ina yo onyesha lig ya England nataka ikua hy chanel

Unknown said...

Jamani kitaaa sio,,Dstv tafadhali kifurushi cha 109000/= punguzeni jamani.

Unknown said...

Jamani kitaaa sio,,Dstv tafadhali kifurushi cha 109000/= punguzeni jamani.

Unknown said...

Mna huduma nzuri dstv

Unknown said...

Nimeipendasana data

Unknown said...

Tatizo n nn mbona kifurush nmenunua lakin all channel hazioneah bado

Unknown said...

Kifurushi cha 69000/= kina ssp ipi na ipi na je kitaonyesha
epl ?

Unknown said...

nawakubali sana dst mungu awatangulie

Unknown said...

Kuna haja ya kuwa vifurushi vya muda mfupi, kama wiki moja hivi ili kukidhi mahitaji ya wateja kwa muda mfupi, kwa mfano, kama mteja anatarajia kusafiri kwa muda mrefu zaidicya mwezi mmoja lakini anahitaji huduma ya dstv kabla hajasafiri

Unknown said...

Tunaomba kujua local channel zinarudi lini maana tunalipia bila ya kupata hixo channel imekuwa kero kwetu

Unknown said...

Tunapenda huduma zenu ila mpo Juu sana kama ndege ya magu

Unknown said...

Naomba kufunguliwa account no nazani mmenifungia

Unknown said...

Naomba kujua tofauti ya ving'amuzi vyenu yaani HD5 na explorer

Unknown said...

Kujana usilete matatizo yako hapa... Hiyo sio ugonjwa kama huwezi kumiliki dstv waachie wenzio. #dstv

Unknown said...

😁😁😁

Unknown said...

Huduma nzur bt haiendan na uchumi wa mtanzania

Anonymous said...

Hey There. I found your blog the usage of msn. That is
an extremely neatly written article. I'll make sure to bookmark it
and return to learn extra of youjr helpful information. Thanks for the post.

I will certainly comeback.

Unknown said...

Mimi ni mteja mpya naomba unisaidie namna ya kufanya malipo, na kujua vifurushi vyenu..

Unknown said...

Napataje kadi ya dstv maana ya kwangu imepotea? Nijibu kuipitia mtalemwarichard@gmail.com

Unknown said...

Sasa mbona icho kifurushi cha 19000 akijashuka maana tulikuwa tunalipia bei iyo iyo

Unknown said...

Kifurushi cha 19000 akijashuka toka zamani tunalipia iyo iyo alafu mnasema mmeshusha

Sirjune vitus simfukwe said...

DStv ni bomba Sawa lakini bei zake ni changamoto kwa watanzania wengi, kama wanataka kupata ukweli wajaribu kuangalia idadi ya walio na ving'amuzi halafu waangalie ni wangap wanalipia mara zote.
Kiufupi vifurushi vishuke bei tena.
Mambo magumu

Sirjune vitus simfukwe said...

Shusheni bei kidogo

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita