Call / WhatsApp +255673378129

Aug 25, 2017

KIFURUSHI CHA AZAM LITE | AZAM LITE PACKAGE | TSH 10,000

Zijue channel zilizopo kwenye kifurushi cha azam lite:-
Kuna zaidi ya channel 55
 Kwa wiki ni Tsh 3,000/= na kwa mwezi ni Tsh 10,000/=

  • Universal TV
  • BBS TV
  • Royal TV Rwanda
  • Clouds TV Rwanda
  • Salam TV
  • Magic One
  • Channel 44
  • ASTV (Africa Swahili TV)
  • Boing
  • Africa News
  • Spark TV
  • TV - E
  • Salt TV
  • AMC Series
  • Romanza Africa
  • Zodiak TV
  • Times TV
  • KASS TV
  • ABS TV
  • DELTA TV
  • Jeem TV
  • MBC Plus Power
  • RAI Italia
  • Malawi National TV
  • KBC
  • Star TV
  • Azam Two
  • Azam One
  • KTN
  • K24
  • Bukedde TV 2
  • TV West
  • NBS TV
  • Urban TV
  • UBC
  • Citizen TV
  • EATV
  • ZBC 2
  • African Movie Channel
  • MBC 3
  • Manchester United TV
  • Real Madrid TV
  • Al Jazeera English
  • Fix & Foxi
  • Colors
  • MBC Bollywood
  • MTV India
  • ITV
  • Clouds TV
  • ZBC
  • Chanel 10
  • TBC1
  • Sinema Zetu

JINSI YA KUHAMA KIFURUSHI Bofya Hapa
KWA HUDUMA | USHAURI | CHOCHOTE KUHUSU AZAM TV | +255 789 476 655 Whatsapp+255784378129
Share:

37 Unasemaje..??:

Kinota son travel said...

Hii ni sawa kabisa kwa elfu kumi kwa mwezi bana matumizi na kinatija

Anonymous said...

safi sana

Unknown said...

Decoder na dish full system ni Tshs ngapi

Unknown said...

Decoder na dish full system ni Tshs ngapi

Anonymous said...

Vipi tv 1? Haiko kweny vifurushi vya azam?

Anonymous said...

Package ya AZAM LITE kwa bei ya elfu kumi (10,000) ni fair kabisa. Nawapongeza sana maana idadi ya channel inaendana na malipo hayo.

Unknown said...

Bado kipo hicho kifurushi

Unknown said...

Leo sioni channel za Tanzania kama Itv, Eatv,n.k

Unknown said...

Mbona nimeweka hicho lite lakin Eatv, Channel ten, Star TV, ITV hazifunguki jaman

Unknown said...

Naomba msaada

Unknown said...

Dikoder na dishi fully parkege sh,ngapi kwa sasa

Unknown said...

Azam tv mpo vizuri sana.

Unknown said...

Hizo channel za Tz tutazipata? Au bado zimefungwa?

Unknown said...

Kama mmeshindwa kutuonyeshea chaneli za kibogo mpunguze bei ya vifurushi.

Unknown said...

sasa mmefungiwa baadhi ya chanel punguzen bei

Unknown said...

Vipi azam sport 2 ipo?

Unknown said...

Jinsi ya kujiunga

Unknown said...

chaneli azioneshi kama itv chanel ten tv e eti wanadai zmefungiwa kwaio mpaka lini ztafunguliwaa???

Unknown said...

Channel za kibongo mbona hazionyeshi

Unknown said...

Kwasisi wapenzi wa michezo mungetuwekea azam sport 2 ilituwetunaangalia ligikuu tz bara

Unknown said...

Chanel za bongo mmefikia wapi

Anonymous said...

Hiki kifurushi cha LITE bado kipo?

Zacky said...

Mkuu nilijiunga package ya shlng elfu 10 lakin kimedumu kwa wiki mbili tuu, kwanini..?

Unknown said...

mbona Mpo vibay

Unknown said...

mbona Mpo vibay

Unknown said...

Asanteni AZAM mnajali

Unknown said...

Michaneli yenyewe imejaa udini ujinga mtupu

Unknown said...

Turudishieni local channels jmn kwann

Anonymous said...

Sio poa

Unknown said...

Mm natamani hicho AZAM TV maana nimetumia kwa mda dstv wanagarama sana hasa ukitaka kuangalia mpira. Mnazuzaje?

Ray Bura said...

Mbona Kwangu StarTv haishiki

Brenda said...

Mbona akuna wasafi Tv
Tanzania safaris channel

Unknown said...

0784018916

Agnes Massawe said...

AMC series and African movie channel sizipati. Tatizo ni nini?

Unknown said...

Mbina mie nanunua cha wiki kinagoma

Unknown said...

Azam mnazingua vipindi mnarudia ,kwa mfano masaptasapta na weka rekodi vunja rekodi,its borering

Unknown said...

Azam umwanya umwanya umwanya saaana....mko vizuri sana.

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita