Call / WhatsApp +255673378129

Oct 14, 2017

TUNAKUFANYIA KILICHO BORA KWA KIPATO ULICHONACHO!

Niliwahi kusikia na watu wengi huamini hivyo ya kuwa ili upate kilicho bora ni lazima uwe na salio la kutosha imani ambayo sisi #MaDishTechnology tunapingana nayo na tunakuhakikishia wewe mdau wetu ya kuwa hata kwa kipato chako kidogo unaweza kupata kitu kilicho bora!

 Ubunifu wa Technical Director - Mustapha MaDish

Tunazingati usafi, Ubora, Tunathamini kile ulichonacho nasi kazi yetu kukipandisha thamani!
Hapa kuna mapungufu ya vifaa ambavyo vilihitajika lakini kutokana na kipato cha mteja wetu tumefanya kilichowezekana.. Najua unajua kwa muonekano huu hata ingelikuwa wewe ungependa tu pasi hivyo vilivyokosekana kuwepo!!
Msamila - 1 kati ya walionufaika na Mustapha MaDish

Tutafute sasa unufaike na huduma zetu zilizo bora
Kama unahitaji tukubadilishie mandhari ya eneo lako iwe:-
  • > Nyumbani
  • > Apartment
  • > Lodge
  • > Hotel
  • > Club / Bar
  • > Office 
Na popote pale ambapo wewe ungependa sisi tukupendezeshee!
Mustapha MaDish : +255789476655 | Whatsapp+255784378129

Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita