Ilikuwa ni kazi ya siku moja ama 2 ila kutokana na mazingira yalivyo imetuchukua wiki 2 ama 3.. hii ni sehemu ambayo haitakiwi kelele na inapotokea idadi ya wagonjwa ni kubwa hakuna nafasi ya kina sie kufanya tulichokifanya hivyo ikawa tunachagua siku maalumu katika wiki ili kulitimiza hili tulilolifanya..
Huu ni mfumo ambao umetumia Dish 1 Decoder 1 lakini picha imeenda kwenye tv 15 na zote zikiwa saaaafi huku tukiacha wagonjwa wakipata alau taarifa ya habari...!
Tupigie +255789476655
1 Unasemaje..??:
Safi sana na kazi nzuri banugu kila la herii!!
Post a Comment