Call / WhatsApp +255673378129

Nov 11, 2017

TUNATENGENEZA UTOFAUTI NA WENGINE

Mwaka unaishia yapo yaliyoenda sawa na yapo ambayo yamezidi kwenda kombo, hapa nazungumzia ulimwengu mzima wa Digital tv, ulimwengu ambao umekuja na fursa kwa namba kubwa kwetu sisi vijana lakini pia kuna changamoto ambhata ambazo zinawakabili wote wanaohusika na mulimwengu huu wa Digital tv... zipo zilizopata utatuzi na zipo ambazo zinaonekana zinaenda kutatuliwa na hapo hapo zipo ambazo hata dalili kama zitakuja kutatuliwa hakuna... Mimi na team yangu kila kukicha tunajitahidi kuwa tofauti na wengine, yaweza kuwa walitutangulia ama wametukuta.. tumelifanya hili kwa uchache ingawaje pongezi tunazozipata inaonyesha walionufaika ni wengi sana kupitia uwanja huu..
Panapo majaaliwa mwakani tutafanya makubwa zaidi na kuwafikia hata ambao hawana uwezo wa kufika humu sisi tutawafikia.!!


 #MustaphaMaDish na zao lake #FundiMakini
Hivi kweli Fundi unafanyaje kazi chafu kama hii!!?? kuna baadhi ya mafundi wengine wamepata ajira kabisa makampuni makubwa yenye kuendesha huduma hizi za Digital tv lakini wanafanya kazi chafu na wanafikia hatua ya kupiga picha na kuzipost kwenye mitandao... mimi ama sisi huwa tunawaita kina #FundiKalipua mbioni kuja na Signal Quality tv
 








Aliyefunga hapa ni #FundiKalipua sio #FundiMakini Toka #MaDishTechnology
Whatsapp +255784378129
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita