Call / WhatsApp +255673378129

Nov 11, 2017

WAKATI MWENGINE TUNAZUNGUMZIA KAZI KWA SURA NYENGINE

 Eneo ni Hotel ya Sea Cliff ndani ya mgahawa wa Karambezi, robo 3 ya wateja wa mgahawa huu ni ngozi nyeupe na lugha itumikayo kwa wengi wa wateja wa hapa ni kiingereza na hivyo hata mazingira huwa kama sio Tanzania hivi...
Kwa mwezi wa 10 imekuwa ni sehemu ambayo nimetembelea zaidi ya mara 12 kwa nyakati tofauti ingawaje ilikuwa tunakula na kunywa lakini kikubwa ilikuwa ni kwa mazungumzo maalumu ya kikazi zaidi isipokuwa kwa sura nyengine na siku ya 12 mtu wa mwisho kufanya nae mazungumzo alikuwa ni Gabo na Deo.
Naweza kusema kila jambo ama hatua upigayo shukuru Mungu kwakuwa yeye ndiye anayekuwezesha!
Alhamdullah!



mustaphamadish@gmail.com

Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kaka umetisha unataka kufanya movie nini!!?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita