Call / WhatsApp +255673378129

Dec 13, 2017

UNALIPIA LAKINI INAKATA KABLA MWEZI KUISHA


Hii inaweza kutokea kwenye ving'amuzi vyote na hutokea makosa ya mtandao ama kama kifurushi ulichopo sio sahihi hivyo hakiwezi kufika mwezi kwa baadhi ya ving'amuzi! Mara chache mno hutokea kwa ving'amuzi kama cha Azam tv,DStv,Zuku, n.k. na huwa mara zote ni kufail kwa system tu na unachopaswa kufanya ni kutoa taarifa ili uweze kusaidiwa kwa kurudishiwa huduma. Tatizo hili limekuwa kubwa sana kwa upande waking'amuzi cha Startimes na huwa tofauti na ving'amuzi vyengine ili kujua zaidi Bofya hapa
Whatsapp+255784378129

Follow Insta @mustaphamadish
Share:

1 Unasemaje..??:

Unknown said...

Thanks for the above information on DSTV. You can also visit http://www.dstvinstallationservices.com/

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita